JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Mkono awaunga mkono Mtwara

*Asema wasikubali yawakute ya Buhemba

*Aahidi kuwatetea bungeni kwa nguvu zote

Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), amejitokeza hadharani kuwaunga mkono wananchi wa Mtwara wanaopinga kujengwa kwa bomba la gesi kwenda jijini Dar es Salaam.

Serikali yamkomoa msaidizi wa Mkapa

Kanali mstaafu Nsa Kaisi, ambaye amekuwa Msaidizi wa Rais Benjamin Mkapa kwa miaka mingi, amepokwa shamba lenye ukubwa wa ekari 14 katika eneo la Pugu Mwakanga mkoani Dar es Salaam.

Bosi TTCL ashinikiza mkataba wa mamilioni

*Asaini huku akijiandaa kung’atuka kazini

*Kampuni ya ulinzi yabainika utata mtupu

*Walinzi wake watuhumiwa wizi wa mali

MKATABA tata wa Sh milioni 742 kati ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) na Kampuni ya Ulinzi ya Supreme International Limited, umeanza kuwatokea puani viongozi wa TTCL, JAMHURI imethibitishiwa.

Kashfa kwa maofisa Ikulu

*Wadaiwa kukingia kifua waliotafuna fedha za wastaafu

*Msaidizi wa JK Mtawa abeba siri nzito, Katibu anena

*Mabilioni ya Hazina, bilioni 1.7 za NORAD zaliwa

Kashfa nzito inawazunguka watendaji wakuu wa Ofisi ya Rais Ikulu, wanaodaiwa kushirikiana na maofisa kadaa wa Hazina ama kutafuta fedha za wastaafu au kuwakingia kifua wabadhilifu.

RIPOTI MAALUMU

ujangili nje nje

*Wanyamapori wanauzwa bila hofu

*Wateja wakuu ni vigogo serikalini

Kipindi cha uwindaji kinachoruhusiwa kisheria kinachoanza Julai hadi Desemba kila mwaka kimekwisha. Hii haina maana kwamba ulaji wanyamapori umekoma.

Zitto atetea Mtwara

Maandamano ya amani yaliyofanyika mjini Mtwara siku ya alhamisi wiki iliyopita yameibua hoja mbalimbali kutoka kwa viongozi, wananchi, vyombo vya habari na mjadala wa siku nzima kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook, twitter na JamiiForums.