JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Askari alalamikiwa kubaka wanawake

Wizara ya Maliasili na Utalii imekumbwa na kashfa nyingine. Safari hii askari wanyamapori wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) na Pori la Akiba la Kijereshi wilayani Busega mkoani Simiyu, wakituhumiwa kubaka wanawake.

Wafanyakazi OSHA kuanika uovu leo

 

Malalamiko ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) dhidi ya Mtendaji Mkuu wao huenda yakapatiwa ufumbuzi leo katika mkutano na viongozi wa ngazi za juu.

Zitto amuumbua Spika

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amesema Spika Anne Makinda, asipodhibitiwa, ataiua nchini kutokana na uongozi wake wa kiimla.

Wanawake wamsononesha Waziri Mkuu

 

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesononeshwa na idadi ndogo ya wanafunzi wa kike, katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST).

Mongela asikilizwe kuhusu makaburi

Wiki iliyopita, Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongela, aliibua hoja ya mpango wa taifa wa ardhi ya kuzika wafu.

Mangula kazima moto kwa petroli Bukoba

Kwa karibu miezi sita sasa, siasa za Jimbo la Bukoba mjini zimegeuzwa siasa za chuki, kutishana, fitina, kuchambana, kulaumiana, kuonesha umwambwa, uwezo wa kifedha, dharau, ubaguzi  na ujenzi wa matabaka yanayosigana katika jimbo hili.