Category: Siasa
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
Tibaijuka anguruma
[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16
HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.
Dozi ya Magufuli kwa viongozi wenzake
Suala la Dar es Salaam ni “very complex” na mimi nataka niwe muwazi na nataka nizungumze kwa ukweli. Ujenzi wa barabara za Dar es Salaam zina matatizo sana .
- Rais Samia awahimiza wafugaji kushiriki Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo
- Rais Dk Samia akipokea Tuzo ya heshima na shukrani kutoka kwa mwenyekiti wa wafugaji
- Rais Dk Samia akizindua Mpango wa Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Simiyu
- Rais Dk Samia akihutubia viongozi mbalimbali, wafugaji Bariadi
- Shamrashamra za uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Simiyu
Habari mpya
- Rais Samia awahimiza wafugaji kushiriki Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo
- Rais Dk Samia akipokea Tuzo ya heshima na shukrani kutoka kwa mwenyekiti wa wafugaji
- Rais Dk Samia akizindua Mpango wa Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Simiyu
- Rais Dk Samia akihutubia viongozi mbalimbali, wafugaji Bariadi
- Shamrashamra za uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Simiyu
- Wananchi Dodoma wanufaika na elimu ya madini katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
- Rais Samia atembelea mradi wa REA Simiyu
- Benki ya Akiba Commercial Plc ACB yashirikiana na Chuo cha TIA kupanda miti 1,500
- Bei ya kujaza gesi (LPG) kwa matumizi ya kupikia ni himilivu-Kapinga
- Wazazi waipongeza GEL kwa elimu kuhusu fursa za masomo nje ya nchi
- Rais Dkt. Samia awataka wakulima wa pamba kukaa mguu sawa
- TPA yazindua zoezi la ukaguzi wa malori yanayohudumia bandarini
- Rais Samia apeleka neema ya maji Kasulu
- Mashindano ya Taifa kuogelea kwa vijana yaendelea kuibua vipaji vipya
- Rais Samia afungua Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu
Copyright 2024