JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

WANA MBEYA KUPOKEA HUKUMU YA MBUNGE WAO SUGU LEO

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya, leo inatarajia kusoma hukumu ya kesi ya kutumia lugha ya fedeha dhidi ya Rais Dkt John Pombe Magufuli, inayowakabili Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi pamoja na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu…

KAKOBE AICHAMBUA RIPORT YA TRA , NA KUSEMA HAYA

Askofu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zachary Kakobe ameeleza kuwa taarifa za kanisa hilo kukwepa kodi zilizotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), hazina ukweli na kuwataka waumini wake kutokubaliana nazo. Askofu kakobe ailyaeleza hayo jana…

KAKOBE AICHAMBUA RIPORT YA TRA , NA KUSEMA HAYA

Askofu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zachary Kakobe ameeleza kuwa taarifa za kanisa hilo kukwepa kodi zilizotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), hazina ukweli na kuwataka waumini wake kutokubaliana nazo. Askofu kakobe ailyaeleza hayo jana…

PROF. LIPUMBA AMCHANA LIVE MALIM SELF

Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amesema chama hicho hakina nguvu kama awali kutokana na kutoshiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar. Akizungumza leo Februari 24, 2018 katika mkutano wa ndani na wananchama…

DK. MPANGO: WANAUCHUMI MAMBUMBU NDIO WAMETUFIKISHA HAPA TULIPO

Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji TIC na Mwenyekiti wa Kamati Uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wachumi Tanzania Economics Society Of Tanzania (EST) Bw. Godfrey Mwambe akipokea katiba ya Chama hicho kutoka kwa Vick Msima Meneja Msaidizi Idara ya…

DK.KAMANI AWAONYA VIONGOZI VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI

MWENYEKITI wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika,Dk.Titus Kamani amesema Serikali kupitia tume hiyo ni awaelekeza viongozi wa Vyama vya Ushirika kutojihusisha kuuza mali za vyama hivyo pasipo kuzingatia sheria.   Hivyo amesema hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaobainika…