JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Uchumi

UWASATA wasaka nguvu kusaidia yatima

Umoja wa Watuma Salamu Tanzania (UWASATA) unahitaji nguvu ya wahisani uweze kuongeza misaada kwa watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi nchini.

Kizimbani kwa kutishia kumuua Miranda Kerr

Steven Swanson (52) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Barnstable, California, akituhumiwa kufanya tishio la kumuua mwanamitindo maarufu wa Australia, Miranda Kerr.

JWTZ kuleta amani DRC-Membe

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amesema anaamini kuwa msimamo na uamuzi wa kupeleka kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) utaleta amani ya kudumu nchini humo.

 

Serikali: Ardhi ni ya Watanzania tu

*Yawaonya wageni waliojipenyeza kuimiliki kinyemela

Serikali imeendelea kuwapiga marufuku wageni kutoka mataifa jirani na Tanzania, kujipenyeza na kumiliki ardhi kinyemela hapa nchini.

Uamuzi wa Pinda, kuua uhifadhi?

Uamuzi unaotarajiwa kutangazwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuhusu hatima ya Pori Tengefu la Loliondo, ndiyo utakaotoa mwelekeo wa uhifadhi nchini.

Watalii waiingizia Tanzania yavuna 614.4 bil/-

Serikali imeingiza kipato cha Sh bilioni 114.4 kutoka kwa watalii 6,730,178 waliozuru nchini wakitokea mataifa mbalimbali, katika misimu ya 2001/2002 na 2011/2012.