Category: Kitaifa
Sengerema wamjaribu Rais Samia
SENGEREMA Na Antony Sollo Fedha zilizotolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, zimeliwa. Uchunguzi wa JAMHURI umebaini kuwa wizi wa fedha hizo umefanywa kwa ustadi mkubwa na maofisa kadhaa wa…
Mgongano ajira Polisi
*Kauli ya Simbachawene yadaiwa kudhalilisha makonstebo DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Sifa za vijana wanaoomba ajira katika majeshi kuwa na ufaulu wa daraja la nne zimezidi kuibua mgongano wa kauli baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,…
Mwelekeo mpya
*Rais Samia avunja usiri wa mikopo serikalini *Aanika kiasi ilichokopa serikali, matumizi yake *Wingi wa miradi kuchemsha nchi miezi 9 ijayo *PM asema ‘kaupiga mwingi’ 2025 – 2030 mtelezo DODOMA Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan ameweka mwelekeo mpya…
Vigogo wanavyotafuna nchi
DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Vigogo 456 wakiwamo marais wastaafu na waliopo madarakani, mawaziri wakuu wa zamani, mabalozi, wauzaji wa dawa za kulevya, mabilionea, wasanii na wana michezo maarufu, wafalme, wanasiasa na viongozi waandamizi serikalini katika nchi 91 wamebainika…
Mkurugenzi MOI amfurahisha Majaliwa
LINDI Na Aziza Nangwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dk. Respicious Boniface, kwa kuwasogezea huduma za kibingwa wakazi wa mikoa ya kusini. Akizungumza katika ziara yake mkoani Lindi alikotembelea Hospitali ya St….
Maswali ajira Uhamiaji
*Wananchi wahoji kwa nini kazi wapewe wenye ufaulu hafifu *Ni baada ya Jeshi la Polisi kuwakata vijana wenye Divisheni I na II DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Idara ya Uhamiaji nchini imetangza nafasi 350 za ajira kwa vijana waliomaliza…