Category: Kitaifa
Ofisa Ardhi wilaya matatani kwa rushwa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Kilimanjaro imemfikisha mahakamani Ofisa Ardhi wa Wilaya ya Hai, Wilbert Mayila, kwa tuhuma za kudai na kupokea rushwa ya Sh milioni moja kutoka kwa ofisa wa jeshi mstaafu ili amsaidie kupata…
Mvua zawatesa wakazi Mkuranga
Mvua kubwa zilizonyesha siku za hivi karibuni zimesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu katika Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Barabara kadhaa, madaraja na nyumba za watu vimeharibiwa na mvua hizo, Mkurugenzi wa Wilaya hiyo, Mshamu Munde, amesema wakati akizungumza na JAMHURI…
Shule yapokea msaada wa viti, chumvi
Kampuni ya Neelkanth Salt Limited imetoa msaada wa viti 100 na katoni 300 za chumvi kwa Shule ya Sekondari Shungubweni kama hatua ya kuunga mkono juhudi za serikali kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu mitihani yao ya darasa la saba mwaka jana…
Taasisi mbili zagombea shule Mkuranga
Bodi ya Wadhamini ya Jumuiya ya Shule ya The Madrasat and Masjid Nnuru Sotele iliyopo wilayani Mkuranga wameiomba serikali kuzichunguza akaunti za fedha za taasisi ya wataalamu wa Kiislamu nchini, TAMPRO, ili kubaini usahihi wa akaunti hizo. Wajumbe wa Bodi…
Zaidi ya trilioni 4/- zatumika kununua mafuta
Tanzania ilitumia zaidi ya Sh trilioni 4 kununua bidhaa mbalimbali za mafuta kati ya Januari na Novemba mwaka jana kiasi ambacho ni zaidi ya gharama iliyotumika kwa mwaka mzima wa 2018, takwimu rasmi za biashara ya nje zinaonyesha. Fedha hizo…
Tanzania yaongoza miradi ya ujenzi Afrika Mashariki
Tanzania ilitumia zaidi ya Sh trilioni 4 kununua bidhaa mbalimbali za mafuta kati ya Januari na Novemba mwaka jana kiasi ambacho ni zaidi ya gharama iliyotumika kwa mwaka mzima wa 2018, takwimu rasmi za biashara ya nje zinaonyesha. Fedha hizo…