JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

TRA yaanzisha mnada kwa njia ya mtandao

Watu ambao wanapenda kushiriki mnada kwa njia ya mtandao utakaokuwa unaendeshwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ni lazima wawe na simu ya mkononi au kompyuta mpakato iliyounganishwa na intaneti. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Huduma na…

Lamadi yapata mwekezaji kutoka Malaysia

Wilaya ya Busega mkoani Simiyu imefanikiwa kumpata muwekezaji kutoka Malaysia atakayewekeza Sh trilioni 6 kwenye Hifadhi ya Kijereshi ili kukuza utalii katika eneo hilo. Hayo yamebainishwa na Mbunge wa Jimbo la Busega, Raphael Chegeni, wakati wa kuhitimishwa kwa tamasha la…

Mwaka wa miradi 

Mwaka 2019 ni mwaka ambao Tanzania imeshuhudia uzinduzi wa miradi mingi mikubwa pengine kuliko mwaka wowote tangu nchi ipate Uhuru Desemba 9, 1961. Hata hivyo, wakati baadhi ya watu wakiisifu Serikali ya Awamu ya Tano kwa kazi hiyo chini ya…

Wakulima korosho Mkuranga bado waidai Serikali

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, ameiomba Wizara ya Kilimo kuhakikisha inawalipa deni la Sh bilioni 5 wakulima wa korosho mkoani Pwani ambao hawajalipwa baada ya kuuza korosho zao msimu uliopita. Ulega amesema hayo wakati wa mkutano wa…

Polisi haijachukua hatua kifo cha kemikali

Polisi wilayani Kisarawe, mkoani Pwani hawajachukua hatua yoyote kuhusiana na kifo cha mtu mmoja na wengine kujeruhiwa baada ya kunywa pombe iliyotokana na kemikali. Siku kadhaa zilizopita JAMHURI liliripoti tukio la Mwalimu Ladislaus Mkama, mtaalamu wa kemia katika Shule ya…

TASAC yawakumbuka walemavu Nduguni

Wakala wa Meli Tanzania (TASAC) wametoa vifaa vyenye jumla ya Sh milioni 10 kwa kikundi cha watu wenye ulemavu cha Tanzanite Disabled Group Art cha Kata ya Nduguni, mkoani Dar es Salaam. Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo, Mkurugenzi wa…