JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

‘Wenye ulemavu wapelekwe shule’

KATAVI Na Walter Mguluchuma Familia zenye watoto wenye ulemavu zimehamasishwa kuwapeleka shule watoto hao waweze kutimiza ndoto zao badala ya kuwachukulia kama laana. Akizungumza katika kikao maalumu na wazazi wa watoto wenye ulemavu, Ofisa Maendeleo wa Ustawi wa Jamii Manispaa…

TEMESA yatupiwa lawama

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Baadhi ya wakazi wa Kigamboni wameiomba serikali kuangalia upya utaratibu wa mfumo wa kadi za kielektroniki kutumika wanapovuka bahari kwa kutumia pantoni. JAMHURI limeelezwa na wananchi hao kwamba mfumo huo umeanza kutumika bila kuwapo…

Serikali yabariki uvamizi wa shamba

MOSHI Na Charles Ndagulla Watu 30 wanadaiwa kuvamia na kuendesha shughuli za kilimo kwenye shamba lenye ukubwa wa ekari 70 katika Kijiji cha Mtakuja, Mabogini, wilayani Moshi. Shamba hilo linadaiwa kuwa mali ya Edward Merishoki, aliyefariki dunia mwaka 1986, sasa…

Anayepata Sh milioni 168 kwa  siku amtishia maisha mbunge 

GEITA Na Antony Sollo  Siku chache baada ya Mbunge wa Sengerema, Khamis Tabasamu (CCM), kuanika kisa cha kutishiwa kuuawa, ni vema tukatafakari kwa kina sababu za kutokea hali hiyo. Akiwa bungeni wiki iliyopita wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Nishati,…

Sabaya gumzo

*Arusha yasisimka, mageti yakifungwa mahakamani *Wananchi wadai mkoa una nuksi ya viongozi vijana *Wadaiwa kuwaangusha waliowaamini, ni masikitiko *Uvumi Makonda kukamatwa watawala mitandaoni ARUSHA Na Hyasinti Mchau Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya,…

Soko la Chifu Kingalu ni ‘bomu’

*Vibanda zaidi ya 200 vyafungwa kwa miezi sita *Biashara yadorora, kisa? Malumbano na Manispaa  Morogoro Na ALEX KAZENGA Kutokuaminiana kati ya baadhi ya wafanyabiashara wa Soko Kuu la Chifu Kingalu na uongozi wa Manispaa ya Morogoro kunatajwa kuwa tishio kwa…