TAKUKURU yawachunguza TBL
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imeanza kufanya uchunguzi wa kina kwa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kuthibitisha habari za kiuchunguzi zilizofanywa na gazeti hili la JAMHURI na kubaini kuwa TBL wanatumia udhaifu wa sheria kukwepa kodi nchini. Uchunguzi huo ulioanza kuchapishwa Machi 1, mwaka huu, unaonesha kuwa TBL wanakwepa kodi kwa njia…