Category: Kitaifa
Kikwete awakoroga wagombea urais
KAULI mbili zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete juu ya kushika wadhifa huo mkubwa nchini, zimewachanganya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza na wale wanaotajwa kuwania kumrithi.
Putin anakuja Tanzania
LICHA ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kusuasua kuthibitisha kuhusu ujio wa Rais wa Russia, Vladimir Putin taarifa za uhakika zinasema kwamba mwamba huyo wa kimataifa atatua nchini Februari, mwakani.
Obama anataka niwe Rais Tanzania-Waziri
*Wabunge wakataa ‘hongo’ ya safari ughaibuni aliyowaahidi
*Ripoti aliyowasilisha yatupwa, wasema imejaa ubabaishaji
*Msanii aliyekuwa Marekani na Nyalandu, Aunty Ezekiel anena
Waziri aonya rushwa Zimamoto
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima, amewataka askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuepuka tamaa hasa vitendo vya kupokea rushwa.
Kibao chawageukia Al-Shabaab, Boko Haram
INTELIJENSIA ya Serikali za Nigeria na Somalia, zimeshtukia mipango ya makundi ya kigaidi ya Al-Shaabab na Boko Haram yaliyopanga kuungana, lakini mambo yamewawia ugumu.
Aunty Ezekiel atanua na Nyalandu Marekani
*Ni msanii aliyedokezwa na gazeti hili wiki iliyopita
*Mrembo akiri walikuwa pamoja kutangaza utalii
*Asisitiza sehemu kubwa ya bajeti ilitoka wizarani
*Yaelezwa ndicho kilichomkera Rais Kikwete Marekani
- Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi
- TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi
- GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
- Tanzania kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na muungano wa visiwa vya Comoro
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
Habari mpya
- Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi
- TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi
- GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
- Tanzania kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na muungano wa visiwa vya Comoro
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
- Rais Samia ahudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro
- AZAM FC imemtambulisha Florent Ibenge kuwa Kocha Mkuu
- Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
- Rais Dk Samia akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro
- DCEA: Wanaotangaza au kusifia matumizi ya Dawa za Kulevya kukiona
- PPRA yawahamasisha wasanii kujisajili katika mfumo wa NeST
- Rais Samia kuhudhuria sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru Umoja wa Visiwa vya Comoro
- Hamas yakaribisha mazungumzo ya kusitisha vita
- Rais Ruto kujenga kanisa kubwa Ikulu
- Trump :Ukraine itahitaji makombora ya Patriot kujilinda
Copyright 2024
Designed by
JamhuriMedia