Category: Kitaifa
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Wahamiaji haramu waivamia Tanzania
*Wakongo, Wanigeria waongoza, wahusishwa wizi wa fedha benki, uuzaji dawa za kulevya
Wimbi la wahamiaji haramu linazidi kuitesa nchi, ambapo sasa raia wa Congo na Nigeria ndio wanaongoza kwa uhalifu huo.
Afisa Uhamiaji wa Mkoa wa Dar es Salaam, Grace Hokororo, ameithibitishia JAMHURI wiki iliyopita, akisema jitihada zaidi zinahitajika kukabili tatizo hilo.
UNDP kusaidia uboreshaji NEC, TANAPA
Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) liko tayari wakati wowote kuchangia uboreshaji wa shughuli za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), amesema Mkurugenzi wa mpango huo, Helen Clark.
Wafanyakazi Bandari waanza mkakati
*Wasema Njowoka amewasaliti, anazungumza lugha ya Kipande
*Wasema elimu ndogo inamfanya ajikombe, tamko lake lawakera
*Waomba wabunge wambane DG, Mwakyembe, Bodi ivunjwe
*Serikali yamzuia kuvunja Idara ya Masoko, Benki ya Dunia yasitisha mradi
Wafanyakazi wa Bandari wameanza mkakati wa chini kwa chini kuhakikisha wanamng’oa madarakani Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Shughuli za Meli na Bandari Tanzania (DOWUTA), Edmund Njowoka, wanayedai anatafuna fedha za Bandari kama mchwa.
- Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi
- TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi
- GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
- Tanzania kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na muungano wa visiwa vya Comoro
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
Habari mpya
- Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi
- TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi
- GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
- Tanzania kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na muungano wa visiwa vya Comoro
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
- Rais Samia ahudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro
- AZAM FC imemtambulisha Florent Ibenge kuwa Kocha Mkuu
- Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
- Rais Dk Samia akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro
- DCEA: Wanaotangaza au kusifia matumizi ya Dawa za Kulevya kukiona
- PPRA yawahamasisha wasanii kujisajili katika mfumo wa NeST
- Rais Samia kuhudhuria sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru Umoja wa Visiwa vya Comoro
- Hamas yakaribisha mazungumzo ya kusitisha vita
- Rais Ruto kujenga kanisa kubwa Ikulu
- Trump :Ukraine itahitaji makombora ya Patriot kujilinda