Category: Kitaifa
UNDP kusaidia uboreshaji NEC, TANAPA
Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) liko tayari wakati wowote kuchangia uboreshaji wa shughuli za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), amesema Mkurugenzi wa mpango huo, Helen Clark.
Wafanyakazi Bandari waanza mkakati
*Wasema Njowoka amewasaliti, anazungumza lugha ya Kipande
*Wasema elimu ndogo inamfanya ajikombe, tamko lake lawakera
*Waomba wabunge wambane DG, Mwakyembe, Bodi ivunjwe
*Serikali yamzuia kuvunja Idara ya Masoko, Benki ya Dunia yasitisha mradi
Wafanyakazi wa Bandari wameanza mkakati wa chini kwa chini kuhakikisha wanamng’oa madarakani Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Shughuli za Meli na Bandari Tanzania (DOWUTA), Edmund Njowoka, wanayedai anatafuna fedha za Bandari kama mchwa.
Waziri Nyalandu adanganya
Usanii wa kisiasa unaofanywa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, unazidi kubainika baada ya rafiki zake kumkabidhi hundi hewa ya dola milioni 2.25 za Marekani.
Kiasi hichocha fedha kwa mwaka jana kilikuwa sawa na Sh bilioni 3.668.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Siri zavuja Bandari
Habari mpya
- RC Pwani atoa onyo matumizi mabaya ya fedha za lishe
- Ujenzi wa Kampasi ya UDOM Njombe waanza kwa kasi
- Kongamano la Kitaifa la ufuatiliaji, na tathmini kukutanisha washiriki 1000
- Kumchagua Rais Samia ni kuchagua maendeleo – Dk Biteko
- Rais Samia aahidi kujenga Chuo cha ufundi Stadi Manyoni
- Rais Samia: Bahi kupata maji ya Ziwa Victoria
- LHRC yapatiwa ufadhili dola milioni 2 na Ubalozi wa Norway
- Samia anaikomboa nchi kwa giridi ya maji
- TMA yahimizwa kuendelea kushirikisha wadau kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 9 -15, 2025
- Rais Samia kuwasili Singida
- Majaliwa azindua kampeni za ubunge jimboni Mchinga
- Zaidi ya wanafunzi 100 kundi la pili wakabidhiwa VISA na vitabu vya muongozo na GEL
- Waziri Mkuu akutana na Dk Kashililla
- Waziri Mkuu akutana na balozi wa Tanzania nchini Japan