Category: Kitaifa
Samia arejesha fomu ya urais, CCM yatia nia kwa mara nyingine kuipeleka Tanzania juu zaidi
Na Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika hali ya hewa nzuri ya Jiji la Dodoma, asubuhi ya Agosti 27, 2027, historia imeandikwa tena pale Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipowasili katika Ofisi za Tume Huru ya…
Nchimbi amkabidhi ofisi Dk Migiro, aahidi kuendeleza uimara
Katibu Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, ameishukuru Kamati Kuu ya chama hicho kwa heshima ya kumteua kushika nafasi hiyo, akiahidi kushirikiana na viongozi wenzake kuendeleza uimara wa chama hicho kikongwe nchini. Akizungumza Agosti 26,2025 katika…
ACT Wazalendo kuzindua kampeni Agosti 30
Chama cha ACT Wazalendo kinatarajia kizindua kampeni zake za mgombea Urais Jijini Mwanza Agosti 30 katika Viwanja vya Furahisha
Geofrey Timothy achukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Kawe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Geofrey Timothy, amechukua fomu ya kuwania nafasi hiyo na kuahidi kuwatumikia wananchi wa Kawe kwa ari na moyo wa kujituma. Akizungumza leo…
Baraza la Ushauri la Viongozi Wakuu Wastaafu, nguzo ya busara na uadilifu ndani ya CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Miongoni mwa mambo yaliyoipa CCM uhai, uimara na uimarikaji katika safari yake ndefu ya kisiasa, ni hekima ya kuwatumia viongozi wakuu wastaafu kama washauri. Utaratibu huu si jambo jipya, bali ni urithi ulioanzishwa…