Category: Kitaifa
Mgombea urais ACT-Wazalendo Othman Masoud aahidi neema kwa wavuvi Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea Urais wa ACT Wazalendo, Othman Masoud, ameahidi kuimarisha sekta ya uvuvi Zanzibar endapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza na wavuvi wa Shumba, Micheweni Pemba, Othman alisema Zanzibar imezungukwa na bahari yenye…
Dk Nchibi aingia Mtwara Vijijini kusaka kura za Samia
Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi leo Oktoba 02, 2025 anaendelea kusaka kura za Ushindi wa Kishindo za Dkt Samia Suluhu Hassan, Wabunge kwa kufanya mikutano ya hadhara ya Kampeni…
Koka na Katele waahidi Pangani yenye neema na kupaa kiuchumi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, mkoani Pwani, Silvestry Koka, amesema kata ya Pangani inakwenda kuwa kitovu cha maendeleo, akiwataka wananchi kutokiangusha Chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu oktoba 29,2025. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni…
Nape Nnauye : Rais Samia ni kiongozi jasiri aliyelivusha taifa kwenye Covid – 19
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Moses Nnauye, amesema Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni kiongozi jasiri aliyelivusha taifa katika…
Samia aacha kicheko Kilimanjaro, asisitiza amani
Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media, Moshi Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema kama atapewa ridhaa ya kuongoza nchi atahakikisha anajenga Kampasi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) wilayani Hai mkoani Kilimanjaro. Akihutubia mamia maelfu…
CCM yabadilisha maisha Namonge
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imebadilisha maisha ya watu wa Kata ya Namonge kwa kuleta miradi…