Category: Kitaifa
Waziri Nyalandu adanganya
Usanii wa kisiasa unaofanywa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, unazidi kubainika baada ya rafiki zake kumkabidhi hundi hewa ya dola milioni 2.25 za Marekani.
Kiasi hichocha fedha kwa mwaka jana kilikuwa sawa na Sh bilioni 3.668.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Siri zavuja Bandari
Kipande abanwa Bandari
TCAA nako kwafukuta ufisadi
*Wakurugenzi wahariri Waraka wa Hazina
*Mbinu hiyo yawafanya walipane mamilioni
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), inakabiliwa na tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Fadhil Manongi, hadi wiki iliyopita bado alikuwa akiendelea na dhima za kiofisi licha ya muda wake wa kung’atuka kuwadia.
Wakati Manongi akijiandaa kuiacha ofisi hiyo, kumekuwa na malalamiko ya matumizi mabaya ya fedha miongoni mwa wakurugenzi ambao ni washirika wake.
- Kamati ya usimamizi wa maafa yaidhinisha mpango wa dharura kukabiliana na madhara ya El Nino
- Msigwa aeleza msimamo wa Serikali kuhusu mikutano ya hadhara
- Masauni: Muungano ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa
- TEA na UNICEF Watekeleza Mradi wa Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 wa Ujenzi wa Vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi
- Waziri Mavunde aelekeza usimamizi thabiti wa sheria
Habari mpya
- Kamati ya usimamizi wa maafa yaidhinisha mpango wa dharura kukabiliana na madhara ya El Nino
- Msigwa aeleza msimamo wa Serikali kuhusu mikutano ya hadhara
- Masauni: Muungano ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa
- TEA na UNICEF Watekeleza Mradi wa Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 wa Ujenzi wa Vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi
- Waziri Mavunde aelekeza usimamizi thabiti wa sheria
- Rais Dkt. Samia ashiriki Mkutano Maalum wa AU kuhusu Afya, Accra nchini Ghana
- Polisi watakiwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi
- Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani
- Balozi wa Tanzania UNESCO akutana na Waziri wa Japan kuimarisha ushirikiano wa urithi wa dunia
- Waziri Ndejembi :Vitongoji vyote Mtwara kufikishiwa umeme
- Vita vya Iran vimeigharimu Marekani dola bilioni 37.5 – Waziri wa ulinzi
- Rais wa Ukraine amtimua Mkuu wa Jeshi, Oleksandr Syrskyi
- Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha Dira 2050
- Tanzania yaongoza juhudi za Afrika kutokomeza UKIMWI na kuimarisha mifumo ya afya
- Rais Dk Samia awasili jijini Accra Ghana kushiriki mkutano AU
Copyright 2025