Category: Kitaifa
Wafanyakazi Bandari waanza mkakati
*Wasema Njowoka amewasaliti, anazungumza lugha ya Kipande
*Wasema elimu ndogo inamfanya ajikombe, tamko lake lawakera
*Waomba wabunge wambane DG, Mwakyembe, Bodi ivunjwe
*Serikali yamzuia kuvunja Idara ya Masoko, Benki ya Dunia yasitisha mradi
Wafanyakazi wa Bandari wameanza mkakati wa chini kwa chini kuhakikisha wanamng’oa madarakani Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Shughuli za Meli na Bandari Tanzania (DOWUTA), Edmund Njowoka, wanayedai anatafuna fedha za Bandari kama mchwa.
Waziri Nyalandu adanganya
Usanii wa kisiasa unaofanywa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, unazidi kubainika baada ya rafiki zake kumkabidhi hundi hewa ya dola milioni 2.25 za Marekani.
Kiasi hichocha fedha kwa mwaka jana kilikuwa sawa na Sh bilioni 3.668.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Siri zavuja Bandari
Kipande abanwa Bandari
- Uwekezaji wa sekta binafsi kichocheo cha maendeleo ya elimu- Shilingi
- Kada wa CCM Mary Nchimbi afariki dunia
- Rais Mwinyi : Kamati ya CCM na ACT Wazalendo kuimarisha maridhiano Zanzibar
- Kiwanda cha kuchakata mchanga mzito wa baharini Afrika kujengwa Pangani, Tanga
- Rais Dk Mwinyi azindua Kamati ya majadiliano ya pamoja kati ya CCM na ACT
Habari mpya
- Uwekezaji wa sekta binafsi kichocheo cha maendeleo ya elimu- Shilingi
- Kada wa CCM Mary Nchimbi afariki dunia
- Rais Mwinyi : Kamati ya CCM na ACT Wazalendo kuimarisha maridhiano Zanzibar
- Kiwanda cha kuchakata mchanga mzito wa baharini Afrika kujengwa Pangani, Tanga
- Rais Dk Mwinyi azindua Kamati ya majadiliano ya pamoja kati ya CCM na ACT
- UDSM kuwa mwenyeji wa mkutano wa AAP 2026
- CBE Yaanzisha Shahada za Double Degree, Uanagenzi
- Salome ashiriki ufunguzi wa Gastech 2026 Bangkok
- Prof. Shemdoe azitaka wilaya, halmashari zote kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El nino
- Uchaguzi viongozi wapya Burunge WMA waanza
- TARURA yaendelea kuboresha miundombinu ya barabara Dodoma
- Tanzania yajipanga kuimarisha ushirikiano na Chuo cha Hanyang ERICA cha Korea Kusini
- Naibu Katibu Mkuu ACT -Wazalendo Zanzibar aanza ziara Pemba
- TMA yapongezwa kwa utabiri sahihi wa hali ya hewa
- Tanzania yazidi kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda
Copyright 2025