Category: Kitaifa
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Wahamiaji haramu waivamia Tanzania
*Wakongo, Wanigeria waongoza, wahusishwa wizi wa fedha benki, uuzaji dawa za kulevya
Wimbi la wahamiaji haramu linazidi kuitesa nchi, ambapo sasa raia wa Congo na Nigeria ndio wanaongoza kwa uhalifu huo.
Afisa Uhamiaji wa Mkoa wa Dar es Salaam, Grace Hokororo, ameithibitishia JAMHURI wiki iliyopita, akisema jitihada zaidi zinahitajika kukabili tatizo hilo.
UNDP kusaidia uboreshaji NEC, TANAPA
Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) liko tayari wakati wowote kuchangia uboreshaji wa shughuli za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), amesema Mkurugenzi wa mpango huo, Helen Clark.
- Uwekezaji wa sekta binafsi kichocheo cha maendeleo ya elimu- Shilingi
- Kada wa CCM Mary Nchimbi afariki dunia
- Rais Mwinyi : Kamati ya CCM na ACT Wazalendo kuimarisha maridhiano Zanzibar
- Kiwanda cha kuchakata mchanga mzito wa baharini Afrika kujengwa Pangani, Tanga
- Rais Dk Mwinyi azindua Kamati ya majadiliano ya pamoja kati ya CCM na ACT
Habari mpya
- Uwekezaji wa sekta binafsi kichocheo cha maendeleo ya elimu- Shilingi
- Kada wa CCM Mary Nchimbi afariki dunia
- Rais Mwinyi : Kamati ya CCM na ACT Wazalendo kuimarisha maridhiano Zanzibar
- Kiwanda cha kuchakata mchanga mzito wa baharini Afrika kujengwa Pangani, Tanga
- Rais Dk Mwinyi azindua Kamati ya majadiliano ya pamoja kati ya CCM na ACT
- UDSM kuwa mwenyeji wa mkutano wa AAP 2026
- CBE Yaanzisha Shahada za Double Degree, Uanagenzi
- Salome ashiriki ufunguzi wa Gastech 2026 Bangkok
- Prof. Shemdoe azitaka wilaya, halmashari zote kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El nino
- Uchaguzi viongozi wapya Burunge WMA waanza
- TARURA yaendelea kuboresha miundombinu ya barabara Dodoma
- Tanzania yajipanga kuimarisha ushirikiano na Chuo cha Hanyang ERICA cha Korea Kusini
- Naibu Katibu Mkuu ACT -Wazalendo Zanzibar aanza ziara Pemba
- TMA yapongezwa kwa utabiri sahihi wa hali ya hewa
- Tanzania yazidi kuimarisha nafasi yake katika biashara ya umeme kikanda