Category: Kitaifa
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
Wahamiaji haramu waivamia Tanzania
*Wakongo, Wanigeria waongoza, wahusishwa wizi wa fedha benki, uuzaji dawa za kulevya
Wimbi la wahamiaji haramu linazidi kuitesa nchi, ambapo sasa raia wa Congo na Nigeria ndio wanaongoza kwa uhalifu huo.
Afisa Uhamiaji wa Mkoa wa Dar es Salaam, Grace Hokororo, ameithibitishia JAMHURI wiki iliyopita, akisema jitihada zaidi zinahitajika kukabili tatizo hilo.
UNDP kusaidia uboreshaji NEC, TANAPA
Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) liko tayari wakati wowote kuchangia uboreshaji wa shughuli za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), amesema Mkurugenzi wa mpango huo, Helen Clark.
Wafanyakazi Bandari waanza mkakati
*Wasema Njowoka amewasaliti, anazungumza lugha ya Kipande
*Wasema elimu ndogo inamfanya ajikombe, tamko lake lawakera
*Waomba wabunge wambane DG, Mwakyembe, Bodi ivunjwe
*Serikali yamzuia kuvunja Idara ya Masoko, Benki ya Dunia yasitisha mradi
Wafanyakazi wa Bandari wameanza mkakati wa chini kwa chini kuhakikisha wanamng’oa madarakani Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Shughuli za Meli na Bandari Tanzania (DOWUTA), Edmund Njowoka, wanayedai anatafuna fedha za Bandari kama mchwa.
- Kamati ya usimamizi wa maafa yaidhinisha mpango wa dharura kukabiliana na madhara ya El Nino
- Msigwa aeleza msimamo wa Serikali kuhusu mikutano ya hadhara
- Masauni: Muungano ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa
- TEA na UNICEF Watekeleza Mradi wa Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 wa Ujenzi wa Vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi
- Waziri Mavunde aelekeza usimamizi thabiti wa sheria
Habari mpya
- Kamati ya usimamizi wa maafa yaidhinisha mpango wa dharura kukabiliana na madhara ya El Nino
- Msigwa aeleza msimamo wa Serikali kuhusu mikutano ya hadhara
- Masauni: Muungano ni tunu ya taifa isiyopaswa kuchezewa
- TEA na UNICEF Watekeleza Mradi wa Zaidi ya Shilingi Bilioni 1 wa Ujenzi wa Vituo 10 vya Elimu ya Awali ya Ufundi
- Waziri Mavunde aelekeza usimamizi thabiti wa sheria
- Rais Dkt. Samia ashiriki Mkutano Maalum wa AU kuhusu Afya, Accra nchini Ghana
- Polisi watakiwa kushirikiana na vikundi vya ulinzi
- Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani
- Balozi wa Tanzania UNESCO akutana na Waziri wa Japan kuimarisha ushirikiano wa urithi wa dunia
- Waziri Ndejembi :Vitongoji vyote Mtwara kufikishiwa umeme
- Vita vya Iran vimeigharimu Marekani dola bilioni 37.5 – Waziri wa ulinzi
- Rais wa Ukraine amtimua Mkuu wa Jeshi, Oleksandr Syrskyi
- Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha Dira 2050
- Tanzania yaongoza juhudi za Afrika kutokomeza UKIMWI na kuimarisha mifumo ya afya
- Rais Dk Samia awasili jijini Accra Ghana kushiriki mkutano AU