Category: Kitaifa
Paroko RC aishiwa uvumilivu, awacharaza viboko Wasabato
PAROKO wa Parokia ya Urumi, iliyoko Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Padri Peter Twamba, amewajia juu waamini wa Kanisa la Waadivetisti Wasabato, waliotuhumiwa kukashifu imani ya Kanisa Katoliki (RC).
Tukio hilo lilitokea kanisani hapo, Jumapili ya 23 ya mwaka ‘A’ (kijani) ya Septemba 7, mwaka huu saa 3 asubuhi mara baada ya misa ya asubuhi kanisani hapo.
Ukawa waigawa nchi
*Wagombe urais watarajiwa Pinda, Lowassa, Membe njia panda
*Marando, Lissu, Dk. Slaa wataka wananchi wapige kura ya maoni
* Kikwete, Prof. Lumumba, Jaji Mtungi wawataka warejee bungeni
Na Mwandishi Wetu
Kuna kila dalili kuwa Tanzania sasa iko njia panda baada ya msimamo usioyumba wa wabunge waliojinasibu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuwa hawarejei kwenye Bunge la Katiba linaloanza leo.
Mengi: Fundisheni watoto kumcha Mungu
Kuwafundisha watoto kumcha Mungu ni dhana nzuri inayowajenga katika maadili ya kuwawezesha kufanikiwa maishani, amesema Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi.
Amefafanua kwamba kumcha Mungu kunamfanya mtoto kuwa mwema, mkweli na mwaminifu, tabia ambazo ni nyenzo muhimu katika kufikia mafanikio ya kiuchumi na kijamii.
“Ni jambo la msingi kwa mzazi kumwandaa mtoto aweze kufanikiwa maishani. Kumfundisha mtoto amweke mbele Mwenyezi Mungu kutamfanya awe mnyenyekevu, mkweli na mwaminifu ili hata akikopa arudishe, maana hakuna anayetaka kufanya biashara na mtu mwongo na anayejivuna,” amesisitiza.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
- TANESCO yazindua rasmi zoezi la ulipwaji fidia kwa wananchi Lindi na Mtwara
- CRDB yaendelea kung’ara katika uwekezaji wa kimkakati Soko la Hisa DCE
- Rais Samia anaendelea kupeleka furaha na neema kwa watumishi wa umma Tanzania – Kikwete
- Polisi yamkamata mmiliki wa eneo la Vikawe lililosababisha vifo vya watu wawili
- Chem Chem Safari ya Tanzania yaingia katika ushirikiano na Auberge, wadhamiria kulinda mazingira
Habari mpya
- TANESCO yazindua rasmi zoezi la ulipwaji fidia kwa wananchi Lindi na Mtwara
- CRDB yaendelea kung’ara katika uwekezaji wa kimkakati Soko la Hisa DCE
- Rais Samia anaendelea kupeleka furaha na neema kwa watumishi wa umma Tanzania – Kikwete
- Polisi yamkamata mmiliki wa eneo la Vikawe lililosababisha vifo vya watu wawili
- Chem Chem Safari ya Tanzania yaingia katika ushirikiano na Auberge, wadhamiria kulinda mazingira
- Legendary Expeditions, yaingia mkataba wa ushirikiano na kampuni ya Auberge Collection
- Jaji Mkuu Masaju kuzindua kitabu cha Ushairi cha Wakili Msomi Aisha Kingu Jumapili
- Dodoma yapongezwa kwa mpango wa kupeleka walimu Korea Kusini
- Waziri Mkuu: Serikali yaendelea kuhakikisha mafuta hayaadimiki nchini
- Vyuo 263 vya ufundi kusajiliwa kuongeza fursa za mafunzo ya ufundi
- IPI yawateua mabalozi 500 wa kuitangaza amani ndani na nje ya nchi
- EWURA CCC Kagera yafanikiwa kuwafikia wananchi 1134
- TANESCO yapongezwa kujipanga kufikisha umeme Bandari ya Uvuvi Kilwa
- Dk Jingu apokelewa Wizara ya Katiba na Sheria, aahidi ushirikiano
- Benki ya MCB yazindua mpango wa uuuzaji wa hisa stahiki