Category: Kitaifa
RPC ‘atumika’ kuchangisha rushwa
* Watendaji wadaiwa kutumia jina lake kula rushwa kwa walima bangi
* RPC Tarime/Rorya awaruka, DC asema dawa yao inachemka
Maofisa watendaji wa Kijiji cha Kwisarara na Kata ya Bumera wanatuhumiwa kutumia jina la Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) wa Kipolisi Tarime/Rorya kuchukua rushwa ya fedha kutoka kwa wakulima wa zao haramu la bangi.
Diwani awaangukia wezi wa sola
Diwani wa kata ya Kisaka wilayani Serengeti, Chacha Togoche, ‘amewangukia’ wezi akiwaomba kutorudia kuiba sola katika zahanati ya kijiji cha Nyiboko.
JWTZ kuleta amani DRC-Membe
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amesema anaamini kuwa msimamo na uamuzi wa kupeleka kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) utaleta amani ya kudumu nchini humo.
Serikali yamkaanga raia wa Uswiss
. Yamnyang’anya umiliki wa ardhi aliyojipatia kinyemela
. Aliitumia kuuza viwanja kwa wageni kinyume cha sheria
. Raia wa Zimbabwe alishauziwa na kujenya nyumba
Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imemnyang’anya raia wa Uswiss umiliki wa ardhi mkoani Tanga.
Kataeni zawadi ndogo ndogo za wawekezaji – Waziri
Serikali imewaomba wabunge waiunge mkono kwenye azma yake ya kuhakikisha utaratibu mpya wa kutoa ardhi kwa wawekezaji kwa misingi ya kugawana hisa kwenye Halmashauri za Vijiji unatekelezwa.
Uendelezaji Kigamboni upo palepale – Serikali
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imesema nia ya kuendeleza Mji Mpya wa Kigamboni, ipo palepale.