Category: Kitaifa
Vigogo wa bilioni 300 wakalia kuti kavu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema vyombo vya dola vimeanza kuchunguza taarifa za kuwapo kwa zaidi ya Sh bilioni 300 zilizofichwa katika benki nchini Uswisi.
Pinda ameliambia Bunge kuwa Serikali imepata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari, na kwamba tayari wameanza uchunguzi na baadaye watatangaza matokeo.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia
Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini. Ushauri huo umetolewa na…
Kashfa uporaji ardhi kubwa Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
[caption id="attachment_124" align="alignleft" width="160"]Waziri Mkuu Mizengo Pinda[/caption]Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
- Rais Samia ametekeleza utoaji wa haki za mtoto – Waziri Dk Gwajima
- PURA yachochea maendeleo kupitia gesi asilia, yaongeza juhudi ya usambazaji
- Rais Samia atembelea majeruhi wa ajali Meatu
- Dkt. Samia azindua Kiwanda cha kuchakata Pamba cha Biosustain Tanzania Limited Meatu
- Kilimanjaro kuendelea kupinga ukatili dhidi ya watoto
Habari mpya
- Rais Samia ametekeleza utoaji wa haki za mtoto – Waziri Dk Gwajima
- PURA yachochea maendeleo kupitia gesi asilia, yaongeza juhudi ya usambazaji
- Rais Samia atembelea majeruhi wa ajali Meatu
- Dkt. Samia azindua Kiwanda cha kuchakata Pamba cha Biosustain Tanzania Limited Meatu
- Kilimanjaro kuendelea kupinga ukatili dhidi ya watoto
- Gambo ataka Wenyeviti Serikali za Mitaa walipwe 300,000/- kwa mwezi
- Mwenge wazindua mita za maji za bil 1.8/- Tanga
- Kampuni kubwa zasaini mkataba kuuzia dhahabu BoT
- THRDC yampongeza Jaji mkuu mpya George Masaju
- Umoja wa Mataifa kupunguza misaada ya kiutu duniani kote
- Mguso wa Bajeti 2025 TANAPA, NCAA
- REA kuendelea kuwezesha waendelezaji wa miradi ya nishati vijijini
- Netanyahu: Tutabadili sura ya Mashariki ya Kati
- Bajeti ya kujitegemea ni mwelekeo sahihi Tanzania
- NHC yaanza kubadilisha sura ya Kariakoo, yavunja majengo yote chakavu