Category: Kitaifa
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
Mvutano uchinjaji Mbeya
Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
Kwimba walilia maji safi
Mbunge wa Kwimba, Shanif Hirani Mansoor (CCM), amesema ameshaanza kushughulikia ujenzi wa mabwawa ya maji katika kata kadhaa jimboni humo.
Mchele wakosa soko Same
Wakulima wa mpunga wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wameeleza kushangazwa na uamuzi wa Serikali kuruhusu uagizaji wa mchele kutoka nje ya nchi, wakati wao wamekosa wanunuzi wa tani 15,000 za bidhaa hiyo hapa nchini.
- Tanzania yaongoza juhudi za Afrika kutokomeza UKIMWI na kuimarisha mifumo ya afya
- Rais Dk Samia awasili jijini Accra Ghana kushiriki mkutano AU
- Tanzania na OACPS wakubaliana kuinua sekta ya uvuvi na uchumi wa buluu
- Waziri Ndejembi amjulia hali kapteni Mstaafu George Mkuchika
- Kishindo cha Waziri Nanauka Katavi, asema Serikali kuimarisha uwekezaji katika elimu, afya
Habari mpya
- Tanzania yaongoza juhudi za Afrika kutokomeza UKIMWI na kuimarisha mifumo ya afya
- Rais Dk Samia awasili jijini Accra Ghana kushiriki mkutano AU
- Tanzania na OACPS wakubaliana kuinua sekta ya uvuvi na uchumi wa buluu
- Waziri Ndejembi amjulia hali kapteni Mstaafu George Mkuchika
- Kishindo cha Waziri Nanauka Katavi, asema Serikali kuimarisha uwekezaji katika elimu, afya
- Newala kunufaika na umeme wa uhakika
- Serikali yatangaza neema kwa wakulima kupitia visima vya umwagiliaji
- Masauni awahamasisha wananchi kunufaika na biashara ya hewa ya ukaa
- ECSA- HC yatoa milioni 211/- kufanikisha kambi ya madaktari bingwa Tanzania
- Rais Samia aondoka nchini kuelekea Accra, Ghana
- Dk Mwigulu : Afrika igeuze mabadiliko ya dunia kuwa fursa za maendeleo
- Washindi Tuzo ya Kiswahili ya Safal kujulikana Ijumaa
- CHADEMA kabla ya kunyooshea wengine kidole…
- Kikwete aitaka Afrika kubadili ahadi za afya kuwa utekelezaji wenye bajeti
- Watendaji Manispaa ya Ubungo wapongezwa ubunifu wa ununuzi wa mitambo
Copyright 2025