Category: Kitaifa
Bila kudhibiti NGOs Loliondo haitatulia
Kwa mara nyingine, Loliondo imetawala kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Sina desturi ya kuitetea Serikali, lakini hiyo haina maana kwamba inapoamua kufanya jambo la manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo, nishindwe kuitetea.
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
Mvutano uchinjaji Mbeya
Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
Kwimba walilia maji safi
Mbunge wa Kwimba, Shanif Hirani Mansoor (CCM), amesema ameshaanza kushughulikia ujenzi wa mabwawa ya maji katika kata kadhaa jimboni humo.
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 15 – 21, 2026
- Tanzania Yapiga Hatua Kubwa Katika Ujenzi wa Miundombinu ya Digital
- NMB yaingia 10 bora duniani kwa benki zenye mali ya dola bilioni 3–10
- TBS Yatahadharisha matumizi ya vipodozi vyenye viambata sumu
- Uwekezaji wa sekta binafsi kichocheo cha maendeleo ya elimu- Shilingi
Habari mpya
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 15 – 21, 2026
- Tanzania Yapiga Hatua Kubwa Katika Ujenzi wa Miundombinu ya Digital
- NMB yaingia 10 bora duniani kwa benki zenye mali ya dola bilioni 3–10
- TBS Yatahadharisha matumizi ya vipodozi vyenye viambata sumu
- Uwekezaji wa sekta binafsi kichocheo cha maendeleo ya elimu- Shilingi
- Kada wa CCM Mary Nchimbi afariki dunia
- Rais Mwinyi : Kamati ya CCM na ACT Wazalendo kuimarisha maridhiano Zanzibar
- Kiwanda cha kuchakata mchanga mzito wa baharini Afrika kujengwa Pangani, Tanga
- Rais Dk Mwinyi azindua Kamati ya majadiliano ya pamoja kati ya CCM na ACT
- UDSM kuwa mwenyeji wa mkutano wa AAP 2026
- CBE Yaanzisha Shahada za Double Degree, Uanagenzi
- Salome ashiriki ufunguzi wa Gastech 2026 Bangkok
- Prof. Shemdoe azitaka wilaya, halmashari zote kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El nino
- Uchaguzi viongozi wapya Burunge WMA waanza
- TARURA yaendelea kuboresha miundombinu ya barabara Dodoma
Copyright 2025