JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Ujumbe Benki ya Dunia wakagua maendeleo ya mradi wa Tanzania ya kidijitali

UJUMBE wa Benki ya Dunia umetembelea Ofisi za Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, zilizopo jijini Dodoma na kufanya mazungumzo na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Mulembwa Munaku kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Tanzania…

Bei ya petroli, dizeli yaendelea kupaa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Bei ya mafuta nchini Tanzania, imepanda tena mwezi huu na kuivuka ile ya Julai 2022 ambapo petroli imepanda kwa Sh.190 kwa kila lita na Sh179 kwa kila lita ya dizeli huku mafuta ya taa yakipanda kwa Sh323…

Mataifa nje ya Afrika yaomba kujiunga na wazalishaji almasi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Arusha Baadhi ya mataifa nje ya Afrika yameomba kujiunga kama wanachama waangalizi katika Jumuiya ya Nchi Zinazozalisha Almasi Afrika (ADPA) zikiwemo taasisi zilizobobea kwenye masuala ya madini hayo. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko…