JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mulamula: Ni muhimu Warundi kurudi kwao

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula, amesema Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) wataendelea kushirikiana katika kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Burundi….

Majirani waomba wavamizi  eneo la mjane waondolewe 

Na Aziza Nangwa DAR E S SALAAM Zaidi ya wakazi 1,000 wa Kijiji cha Pugu Kinyamwezi wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia jirani yao, Frida Keysi, kuishi kwa amani baada ya eneo lake kuvamiwa mara kwa mara na watu wenye…

Spika ajaye

*Msekwa asema kuna waliojitokeza kutangaza majina yao *Chenge, Dk. Tulia, Dk. Kashililah  watajwa kumrithi Ndugai DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Nani kurithi nafasi ya Spika wa Bunge baada ya Job Ndugai kujiuzulu Januari 6, mwaka huu, ni swali gumu…

UJANGILI  Bunduki yenye ‘silencer’ yatumika

*Wataalamu wasema ni kinyume cha sheria za uwindaji wa kitalii *Al Amry adaiwa pia kukiuka haki za watoto, kuwapa silaha hatari *Kesi ya rushwa aliyobambikiwa mwandishi yapigwa tarehe ARUSHA Na Mwandishi Wetu Wakati kesi iliyofunguliwa na Taasisi ya Kuzuia na…

Kiswahili chaongoza ufaulu nchini

*Ni matokeo ya mitihani ya darasa la nne, kidato cha pili na cha nne 2021 DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati ufaulu katika somo la Hesabu kwa wanafunzi wa madarasa mbalimbali nchini ukiporomoka, somo la Kiswahili limetajwa kuongoza katika…

TEF kuwakusanya wahariri Afrika

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Wahariri wa vyombo vya habari kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wanatarajiwa kukutana mara mbili nchini Tanzania, ndani ya miezi miwili, JAMHURI limeelezwa. Katika matukio hayo ya kihistoria, wahariri kutoka zaidi ya mataifa 10 ya…