JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Simba SC yajipanga kumkabili Vipers nyumbani

Na Mwandishi wetu, Jamhuri Media, Dar es Salaam. Ikiwa ni muendelezo wa mashindano ya klabu bingwa Afrika, Simba Sc wataingia dimbani kuwakabiri Klabu ya Vipers kutoka Uganda kesho Machi,7 2023 katika dimba la Benjamin  mkapa jijini Dar es salaam saa moja…

Simba yafufua matumaini

Bao pekee la beki Mkongo, Henock Inonga Baka ‘Varane’ dakika ya 20 limetosha kuipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Vipers katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa St. Mary’s mjini Kitende. Ushindi…

Utata kufutwa Gwambina FC

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Misungwi Takriban mwezi mmoja tangu kutangazwa kufutwa kwa timu ya soka ya Gwambina ya Misungwi mkoani Mwanza kwa madai ya mmiliki wake kukerwa na mwenendo wa maofisa wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), undani wa tukio…

Wizara ya Maliasili yamuunga mkono rais, yatoa milioni 2 ushindi wa Yanga

Na John Mapepele,JamhuriMedia Wizara ya Maliasili na Utalii,imemuunga mkono Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.Dkt. Samia Suluhu Hassan kuipongeza Yanga katika ushindi wake wa leo dhidi ya TP Mazembe katika Kombe la Shirikisho. Katika mechi iliyochezwa katika Uwanja wa…

Timu ya Majimaji bado kioo cha Mkoa wa Ruvuma

Majimaji ni miongoni mwa timu maarufu za soka hapa nchini ambayo ina historia ndefu ukiachia timu za Simba na Yanga ambazo zimedumu kwa muda wote zikicheza ligi kuu bara na kuwa na wapenzi lukuki kila kona ya nchi yetu. Hakuna…