Category: Michezo
KMC FC kuwafuata Ruvu Shooting na wachezaji 22
Kikosi cha wachezaji 22,viongozi pamoja na benchi la ufundi kitaondoka jijini Dar es Salaam leo kuelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC soka Tanzania Bara dhidi ya Ruvu Shooting utakaochezwa siku ya Jumapili Februali tano…
Majaliwa asisitiza wabunge kushiriki michezo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumamosi, Januari 28, 2023 ameshiriki Bunge Bonanza lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi na sekondari ya John Merlin ya jijini Dodoma ambapo ametumia fursa hiyo kuwasisitiza wabunge na wananchi wengine washiriki katika michezo ili…
Uwanja mpya wa Geita Gold FC mbioni kukamilika
UWANJA wa Magogo unaojengwa na Halmashauri ya Mji wa Geita kwa kushirikiana na Kampuni ya Geita Gold Mine Limited , unatarajiwa kukamilika mwezi Mei mwaka huu. Hayo yamebainishwa hivi karibuni mjini Geita na Makamu wa Rais wa AngloGold Ashanti anayeshughulikia…
Kajula ndiye Mtendaji Mkuu mpya Simba SC
Klabu ya Simba imemtambulisha Imani Kajula kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO), wa klabu hiyo kwa mkataba wa miezi sita, akichukua nafasi ya Barbara Gonzalez aliyejiondoa. Meneja wa Habari wa Simba,Ahmed Ally,amesema kuwa mkataba huo unaweza kurefushwa endapo bodi itaridhishwa na…
Yanga yaachana na mshambuliajie wake Yacouba Sogne
Klabu ya Yanga imeachana na mshambuliaji wake wa Kimataifa wa Burkina Faso, Yacouba Sogne (31) baada ya nyota huyo kumaliza mkataba wake. Sogne ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwaaga wana Yanga; “Ulikuwa wakati mzuri tangu tulipokuwa pamoja mpaka sasa…
Mlandege bingwa wa Mapinduzi Cup 2023
……………………………………………….. Timu ya Mlandege imetwaa ubingwa huo baada ya kushinda magoli 2 dhidi ya 1 la Singida Big Stars, ikiwa timu hizo zote zimeingia fainali kwa mara ya kwanza. Makamu wa Pili wa Rais (SMZ) Mhe. Hemed Suleiman Abdullah, Waziri…