JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

Zaidi ya mil.183/-kuhudumia Timu za Taifa

Na Shamimu Nyaki,JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Pauline Gekul, amesema kiasi cha shilingi Milioni 183.5 zimetengwa katika mwaka huu wa fedha 2022/23 kwa ajili ya kuhudumia timu za Taifa. Gekul ameeleza hayo Bungeni jijini Dodoma leo Septemba…

Kewanja FC yaibuka kidedea Kombe la Mahusiano Barrick North Mara

Timu ya Kewanja FC imetwaa ubingwa wa Mashindano ya Soka ya Kombe la Mahusiano “Mahusiano Cup” baada ya kuichapa Murito FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali. Fainali hiyo ilichezwa kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Ingwe mjini Nyamongo…

Yanga,Kipanga watinga raundi ya kwanza Ligi ya Mabingwa

Timu ya Yanga SC imetinga raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa barani Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Zalan FC kutoka Sudan Kusini mchezo wa mkondo wa kwanza hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika…

Hawa hapa wachezaji waliowahi kucheza Real Madrid na Atletico

Na Wilson Malima,JamhuriMedia Wachezaji ambao wamewahi kuchezea Real Madrid na Atletco de Madrid, kwa vipindi tofauti kuelekea dabi ya Madrid. Katika msimu wa 2022/23 wa LaLiga Santander, kuna wachezaji kadhaa ambao wamebahatika kucheza mechi ya Atlético dhidi ya Real Madrid, wakiwa na…

Gekul:Ujenzi wa viwanda vya michezo ni jukumu la Serikali na wadau

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul amesema ujenzi na uendelezaji wa miundombinu ya michezo ni jukumu la Serikali Kuu, Mamlaka ya Serikali za Mitaa, Taasisi , Mashirika ya Umma na Wadau wa michezo. Amesema hayo leo Septemba…