Category: Michezo
Serikali:Kila la heri Serengeti Girls
Na Shamimu Nyaki,JamhuriMedia Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul ameitakia kila la heri Timu ya Wasichana chini ya miaka 17, (Serengeti Girls) katika mechi ya mwisho ya Kundi D dhidi ya Canada, itakayochezwa leo, Uwanja wa DY…
Yanga ‘Out’ Ligi ya Mabingwa
Timu ya Yanga imetupwa nje ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuchapwa 1-0 na Al Hilal katika mchezo wa marudiano Hatua ya 32 Bora Uwanja wa Al Hilal mjini Omdurman nchini Sudan. Bao lililoizamisha Yanga limefungwa na…
Simba yatinga hatua ya makundi Ligi Mabingwa Afrika
Klabu ya Simba imefanikiwa kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa timu ya Primeiro de Agosto ya nchini Angola 1-0 na kuwa jumla ya mabao 4-1 baada ya mechi ya kwanza Simba Sc kushinda 3-1 ugenini….
Ari, bidii na uzalendo imetuletea ushindi dhidi ya Ufaransa
Na Shamimu Nyaki- India Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul ameipongeza timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17 (Serengeti Girls) kwa ushindi wa magoli mawili kwa Moja dhidi ya Ufaransa. Mechi hiyo ya Kundi D…
Serengeti Boys yaichapa Uganda kwa matuta
Tanzania imefanikiwa kumaliza nafasi ya tatu kwenye michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Uganda Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.