Sarri bado ‘yupo yupo’
Mashabiki na wapenzi wa Chelsea wanashindwa kumuelewa Kocha wa timu yao, Mtaliano Maurizio Sarri (Garimoshi), kutokana na timu hiyo kushindwa kufanya vizuri katika mechi zake za hivi karibuni. Chelsea imeanza kusuasua katika mzunguko huu wa pili wa ligi katika mechi dhidi ya Arsenal, Bournemouth na Manchester City, ambapo matokeo ya mechi hizo yamewazindua mashabiki na…