Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 31, 2022
Michezo
TAMISEMI Queens yaitambia JKT Mbweni
Jamhuri
Comments Off
on TAMISEMI Queens yaitambia JKT Mbweni
Moja kati ya heka heka katika goli la Mbweni JKT wakati Mchezaji Gloria Benjamin wa Tamisemi Queens akijaribu kuwahadaa wachezaji Zamzam Hamis (C), Jesca Ngisaise (GA) na Upendo Mpera (WA) huku mchezaji mwenzake Mersiana Samwel (GD) akiwa tayari kutoa msaada katika mchezo mkali na wa kusisimua kati ya Tamisemi queens na Mbweni JKT uliomalizika kwa Tamisemi kushinda kwa magoli 52-37, katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Mchezaji Zamzam Hamis wa Mbweni JKT akijaribu kuukamata mpira uliorushwa na Jesca Ngisaise (GA) wa JKT Mbweni huku mchezaji Semeni Abeid (WA) naye akinyoosha mkono kuuwahi mpira huo katika mchezo wa Ligi ya Netiboli Tanzania uliochezwa jana mjini Morogoro ambapo Tamisemi ilishinda magoli 52-37
Mchezaji Lilian Jovin (GS) wa Tamisemi akifunga mojawapo ya magoli yaliyoipa ushindi timu yake dhidi ya JKT Mbweni katika mchezo mkali na wa kusisimua uliochezwa jana katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro ambapo Tamisemi ilishinda kwa magoli 52-37
Post Views:
450
Previous Post
TANESCO: Ukame waathiri mabwawa 4 ya umeme
Next Post
Rais Samia alivyozindua matokeo ya Sensa na Makazi
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Habari mpya
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia
Watu nane wafariki kwa ajali, wengine 36 wajeruhiwa
Chadema imepoteza ushawishi – Dkt. Slaa
Wizara ya Habari yatiliana saini makubaliano ya uwekezaji na Kampuni ya China
Vijana zaidi ya 500 kutoka mataifa mbalimbali wajadili haki ya kumiliki ardhi Arusha
Mti uliong’olewa kwa upepo mkali wajisimika tena, hofu yatanda
Marekeni yaendelea kuchunguza nyaraka za kijasusi zenye usiri mkubwa
Tanzania, Singapore kuimarisha uhusiano wake
Mdomo umemponza Gachagua Kenya
Soma Gazeti la Jamhuri Oktoba 22- 28, 2024