Category: Michezo
Timu ikishinda ya wote, ikifungwa ya kocha
Mashabiki wa Liverpool wanaita ‘The Miracle of Istanbul” (muujiza wa Istanbul). Ni miaka 20 ilikuwa imepita tangu timu hiyo ilipotwaa Kombe la Klabu Bingwa Ulaya mwaka 1985. Mhispania Rafael Benitez anawapa kombe hilo katika fainali dhidi ya AC Milan mwaka…
Simba, Yanga fupa lisilo na maana
‘Uzalendo umetushinda, uzalendo umetushinda’, hayo yalikuwa ni maneno yaliyosikika yakiimbwa na mashabiki wa Yanga mwaka 1993 baada ya Simba kufungwa na Stella Abidjan katika mechi ya fainali ya Kombe la CAF (sasa Kombe la Shirikisho). Stella Abidjan walishinda magoli 2-0…
Tunapomsifia Samatta, tumzomee Kichuya
Miaka 44 iliyopita Watanzania wengi tukiwa hatujui chochote kuhusu teknolojia wala televisheni, Sunday Manara, anakwenda Uholanzi kucheza soka la kulipwa. Baada ya miaka miwili (1978) maisha ya Uholanzi yanamshinda, anaamua kutimkia Marekani kwenye Klabu ya New York Eagles. Mambo bado…
Kina Samatta wapo wengi tu
Nakumbuka kipindi hicho kabla hatujacheza na Nigeria, kocha wa Taifa Stars aliwaita wachezaji wetu kadhaa wa kigeni. Lilikuwa na bado linabaki kuwa wazo zuri sana. Timu karibu zote ambazo hivi karibuni zimecheza mechi za kutafuta kufuzu zimeundwa na wachezaji wengi…
Nimtume nani kwa Yusuph Mlipili?
Ilikuwa Jumamosi ya Machi 17, 2018 nchini Misri. Dakika 90 zinamalizika kwa sare tasa katika dimba la Port Said katika mechi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika ambapo Al Masry ya Misri iliikaribisha Simba ya Tanzania. Ahmed Gomaa na washambuliaji…
Mbape hakamatiki
Kylian Mbape, mshambuliaji mahiri wa PSG ya Ufaransa anatajwa kuwa ndiye mchezaji ghali duniani hivi sasa akiwa na thamani ya Euro milioni 265.2, akifuatiwa na Raheem Starling wa Manchester City ya Uingereza mwenye thamani ya Euro milioni 223.7. Lakini makinda…