Category: Siasa
Rais chukua hatua, nchi inamalizwa
Watu wengi wameshtushwa na habari kwamba Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imetumia Sh bilioni tisa kwa ajili ya posho kwa kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka hiyo.
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
UKAWA mwaweza kuchagua vita, amani
Kwa muda wa miaka mitatu nchi yetu imeshuhudia mnyukano wa mchakato wa kupata Katiba mpya. Mnyukano huu ulianza rasmi mwaka 2011 Rais Jakaya Kikwete alipotangaza kuandikwa kwa Katiba mpya. Tangazo la Rais Kikwete lilianzisha mchakato wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo hatimaye imelifikisha taifa katika kupata rasimu.
Habari mpya
- Baba Revo awataka Watanzania kujiunga na mfuko ya uwekezaji wa Zan Securities
- Nani atachukua nafasi ya Dk Nchimbi
- ACT Wazalendo yalenga kuendesha nchi kwa misingi bora
- Prof. Shemdoe : Wananchi waridhishwa na ujenzi wa barabara za AFCON 2027 Dar
- Taharuki kusambaa kwa taarifa ya Nchimbi kujiuzulu
- Kadonya : Bonde la Ziwa Victoria ni nguzo muhimu ya uchumi na mtangamano wa Afrika Mashariki
- Soma Gazeti la Jamhuri Agosti 25 -31, 2026
- Miss Universe Tanzania yashirikiana na Serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
- Serikali yawatoa hofu wadau wa pombe kali
- Wanne wapandikizwa figo, 38 wafanyiwa upasuaji wa mishipa ya kuchuja damu MNH-Mloganzila
- Mchengerwa akabidhi ambulance Kibaha
- Serikali kuboresha huduma za dharura kupitia mfumo wa kitaifa wa ambulance
- TADB na ZEEA kushirikiana kuimarisha uwekezaji na ufadhili wa kilimo zanzibar
- Kapinga akutana na mabalozi wa Kenya, Afrika Kusini
- Dk Bashiru afungua kongamano la nne la Kimataifa la Uvuvi na Ukuzaji Viumbe Maji