Category: Siasa
Rais chukua hatua, nchi inamalizwa
Watu wengi wameshtushwa na habari kwamba Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imetumia Sh bilioni tisa kwa ajili ya posho kwa kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka hiyo.
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
UKAWA mwaweza kuchagua vita, amani
Kwa muda wa miaka mitatu nchi yetu imeshuhudia mnyukano wa mchakato wa kupata Katiba mpya. Mnyukano huu ulianza rasmi mwaka 2011 Rais Jakaya Kikwete alipotangaza kuandikwa kwa Katiba mpya. Tangazo la Rais Kikwete lilianzisha mchakato wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo hatimaye imelifikisha taifa katika kupata rasimu.
- Waziri Homera azitaka Bodi za Wadhamini kuwajibika zaidi
- Unganishaji umeme Morogoro mbioni kuanza, REA yakabidhi eneo
- Tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani
- Uchimbaji mchanga wageuka kero Viziwaziwa, Nyamka atembelea barabara iliyokatika
- Tanzania, Slovakia kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi wa kidiplomasia
Habari mpya
- Waziri Homera azitaka Bodi za Wadhamini kuwajibika zaidi
- Unganishaji umeme Morogoro mbioni kuanza, REA yakabidhi eneo
- Tumfukuze mbwa mwitu kwanza, kisha tumzuie mwanambuzi kuchezea vichakani
- Uchimbaji mchanga wageuka kero Viziwaziwa, Nyamka atembelea barabara iliyokatika
- Tanzania, Slovakia kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi wa kidiplomasia
- Mchengerwa aongoza timu ya Tanzania Mkutano wa 59 wa Kamisheni ya Idadi ya Watu na Maendeleo Marekani
- Soma Gazeti la Jamhuri Aprili 14 -20, 2026
- Prof. Mkenda atangaza fursa za ufadhili kwa programu za uzamili katika sayansi na akili unde data
- Vijana kuwania kitita cha milion 50/- shindano la ‘Vijana Uchumi Challenge’
- Naibu Waziri Regina Ndege awajengea uwezo askari wanawake Manyara
- Dk Mwigulu: Tunafuatilia kwa umakini suala la mafuta
- Amani ni msingi wabutalii, Malecela awataka wananchi kuilinda ili kukuza sekta ya utalii
- Uzinduzi vijana platform yapamba moto Kigamboni
- Tanzania yaweka historia nyingine
- Kikwete steps in: AU envoy pushes for lasting peace in South Sudan