Category: Siasa
Rais chukua hatua, nchi inamalizwa
Watu wengi wameshtushwa na habari kwamba Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) imetumia Sh bilioni tisa kwa ajili ya posho kwa kikao cha wafanyakazi wa Mamlaka hiyo.
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Tuwe makini kuelimisha wananchi Katiba Mpya
Tayari Bunge Maalumu la Katiba limepitisha rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Rasimu hiyo iko tayari kwa ajili ya kupelekwa kwa wananchi kupigiwa kura baada ya kupata akidi ya theluthi mbili iliyotakiwa kisheria kwa upande wa Tanzania Bara na Visiwani.
Wanaoiponda UDA wamekosa uzalendo
Tumetafakari kwa kina juu ya taarifa zinazolaumu “Serikali kubariki ufisadi wa UDA.” Lawama hizo hutolewa na Watanzania wachache sana wanaopinga Kampuni ya wazawa ya Simon Group kuuziwa hisa za UDA.
Hoja za msingi malalamiko hayo ni kwamba Simon Group haikufuata taratibu na sheria, na pia kwamba haikuzingatia thamani halisi ya shirika hilo. Tunachofahamu sisi kwa sasa ni kwamba uuzwaji huo uko sahihi na hakuna kinachoweza kubadilika, kwani taratibu na sheria zote zilizingatiwa kikamilifu wakati wa uuzaji wa hisa za UDA kwa Simon Group.
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
UKAWA mwaweza kuchagua vita, amani
Kwa muda wa miaka mitatu nchi yetu imeshuhudia mnyukano wa mchakato wa kupata Katiba mpya. Mnyukano huu ulianza rasmi mwaka 2011 Rais Jakaya Kikwete alipotangaza kuandikwa kwa Katiba mpya. Tangazo la Rais Kikwete lilianzisha mchakato wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo hatimaye imelifikisha taifa katika kupata rasimu.
- Soma Gazeti la Jamhuri Juni 30 – Jula 6
- CRDB Insurance yazindua ‘ Smart mifugo’ kulinda wafugaji dhidi ya hasara
- Polisi Pwani yachunguza mauaji ya mwanamke na mtoto Chalinze
- Pwani kunufaika na mradi wa bilioni 6.3 kuokoa watoto waishio mitaani
- Balozi Omar, Mkurugenzi mpya wa Afriexim bank wateta Dar es Salaam
Habari mpya
- Soma Gazeti la Jamhuri Juni 30 – Jula 6
- CRDB Insurance yazindua ‘ Smart mifugo’ kulinda wafugaji dhidi ya hasara
- Polisi Pwani yachunguza mauaji ya mwanamke na mtoto Chalinze
- Pwani kunufaika na mradi wa bilioni 6.3 kuokoa watoto waishio mitaani
- Balozi Omar, Mkurugenzi mpya wa Afriexim bank wateta Dar es Salaam
- Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaridhishwa na maendeleo ya uzalishaji umeme Kituo cha Julius Nyerere
- REA Zambia yahitimisha ziara yake nchini
- Ndoto za masomo nje zakaribia kutimia kwa wanafunzi wa kitanzania
- CP Kaganda aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa wenye dhamana ya uchukuzi
- Wananchi wenye mahitaji maalum Idodi wapatiwa viti mwendo
- Waziri Ndejembi awasili Tanga kwa ziara ya kikazi
- IGP amteua Twaha Lulengelule kuziba nafasi ya Abwao
- Chifu Mashimba: Jamii irejee kwenye mila na desturi kwa manufaa ya kizazi kijacho
- Dk Akwilapo : Serikali kuendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za kidini
- Prof. Shemdoe awaasa wanafunzi kuendeleza vipaji vyao vya michezo na Sanaa