Category: Maoni ya Mhariri
Ma-DED wasitenguliwe tu, wachukuliwe hatua zaidi
Februari 4, mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya za Buchosa, Iringa, Mbeya na Singida Mjini kwa matumizi mabaya ya fedha za miradi ya maendeleo na upotevu wa mapato katika halmashauri hizo….
Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP wawajibike
Hakuna siri kwamba taifa linapita katika kipindi kigumu, cha kutisha na kusikitisha kikiacha maswali mengi yasiyo na majibu vichwani mwa Watanzania. Ndani ya mwezi mmoja au miwili hivi kumetokea matukio ya ajabu ajabu yanayotishia usalama wa raia na mali zao…
Tuchukue tahadhari za mvua zinazoendelea kunyesha
Jumamosi ya wiki iliyopita Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilitoa tahadhari ya matarajio ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano. TMA ilitoa tahadhari ya mvua kubwa kwa siku tano mfululizo kuanzia Jumamosi hadi kesho kwa maeneo machache…
Tujiandae kwa kumbukumbu za Nyerere, Karume
Waasisi wa taifa la Tanzania, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, mwaka huu watafanyiwa kumbukumbu mbili tofauti; lakini zote zikiwa na umuhimu mkubwa. Kumbukumbu hizi zitafanyika kwa kufuatana; Aprili mwaka huu, ambapo kwa Sheikh…
Wazawa wawezeshwe kumiliki migodi
Wiki iliyopita Tanzania ilipiga hatua kubwa na ya kihistoria katika sekta ya madini nchini, baada ya kushuhudiwa utiaji saini wa mikataba kati ya serikali na kampuni za kimataifa. Mikataba hiyo yenye thamani ya zaidi ya Sh trilioni 1 inatarajiwa kuchochea…
Uhusiano na Kenya uwe wa kudumu, lakini…
Wiki iliyopita Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wamefanya mazungumzo Ikulu ya Dar es Salaam na kufikia makubaliano kadhaa muhimu kwa wananchi wa mataifa haya jirani. Mazungumzo yao yalikamilika kwa kutiliana saini mikataba minane katika nyanja…





