JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Afya

Prof Makubi:Bima ya afya inatoa fursa ya kutibiwa hospitali yoyote unayoitaka

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi amebainisha kuwa, Bima ya Afya kwa wote itatoa fursa kwa Mtanzania mwenye hali yoyote kwenda kupata matibabu katika hospitali yoyote zikiwemo hospitali za kitaifa kama Muhimbili na nyingine za kibingwa. Prof. Makubi…

WHO:Afrika ina idadi kubwa ya watu wanaojiua

Shirika la Afya Duniani limesema Afrika ina kiwango kikubwa zaidi cha watu wanaojiua duniani. Shirika hilo sasa limezindua kampeni ya mitandao ya kijamii ya kuzuia watu kujitoa uhai katika eneo hilo, ili kuongeza ufahamu juu ya suala hilo. Katika taarifa…

Kituo cha kutibu magonjwa ya milipuko kujengwa Kagera

Na Catherine Sungura,JamhuriMedia,Kagera Serikali inatarajia kujenga kituo maalumu cha matibabu ya magonjwa ya milipuko mkoani Kagera. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu wakati wa kikao cha kuhitimisha ziara yake ya kikazi ya kujionea utayari wa kukabiliana na…

Daktari Mtanzania afariki kwa maambukizi ya Ebola Uganda

Daktari raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 37 ambaye amekuwa akisomea Shahada ya Uzamili ya Udaktari katika Upasuaji katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola, Chama cha Madaktari wa Upasuaji Uganda kimetangaza….

Mtoto wa mwezi mmoja afanyiwa upasuaji hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mtwara

Na Mwandishi Wet,JamhuriMedia,Mtwara Mtoto wa mwezi mmoja (Sinaini Mussa Kalokole) amefanyiwa upasuaji wa kichwa katika hospitali ya rufaa ya kanda Mtwara kwa ushirikiano kati ya Madaktari bingwa wa MOI pamoja na wa hospitali hiyo (SZRH). Upasuaji huo ni sehemu ya…

TAUS:Kuna uhaba wa madaktari bingwa wa upasuaji maradhi ya mkojo,uzazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Arusha Tanzania inakabiliwa na uhaba wa madaktari bingwa wa upasuaji wa maradhi ya njia ya mkojo na uzazi ambapo waliopo ni 100 tu ambao hawakidhi mahitaji kulingana na idadi ya wagonjwa hao waliopo. Hayo yamesemwa jijini Arusha…