Category: Afya
‘Haki ya faragha kwa wafunga na wenza wao kutolewa’
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali ya Tanzania imesema haki ya faragha kwa wafungwa na wenza wao itaanza kutolewa pale ambapo sheria na miundombinu ya magereza itakapokidhi kutolewa kwa haki hiyo. Kauli hiyo imetolewa bungeni na Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad…
Mo Dewji foundation yatoa mil 100 kukabili saratani Muhimbili
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Taasisi ya Mo Dewji Foundation iliyoanzishwa na mfanyabiashara Mohamed Dewji, imetoa msaada wa Sh100 milioni kwa ajili kusaidia matibabu ya watoto wanaosumbuliwa na Saratani. Akikabidhi msaada huo leo jijini Dar es Salaam kwa Taasisi ya Tumaini la…
‘NHIF itaendelea kuwepo na kutoa huduma kwani ni tegemeo la Watanzania’
Serikali imesema inaendelea kuchukua hatua stahiki kuhakikisha kuwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unakuwa imara, endelevu na stahimilivu kwa kuendelea kutoa huduma kwa wananchi kwa kuwa mfuko huo ni moja kati ya mfumo unaotumika katika kuhakikisha huduma…
ACT-Wazalendo yaishauri Serikali kuhusu bima ya afya ya Taifa
Chama cha Act Wazalendo kimeiomba serikali, kuhakikisha kila Mtanzania anakua kwenye mfumo wa hifadhi ya jamii ili kuwawezesha Watanzania wote kupata bima ya afya ya Taifa. Pia imeishauri serikali kupitia wizara ya fedha kuhakikisha mikopo yote inayodaiwa kupitia mashirika ya…
Makubi:Kila mtu atimize wajibu wake ili kuboresha huduma za afya
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi ametoa wito kwa Wataalamu wa afya wote nchini kutimiza wajibu wao katika maeneo yao ya utendaji ili kuboresha huduma kwa wananchi wanaoenda kupata huduma. Prof. Makubi ametoa wito huo katika kikao na…