JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Afya

Jamii yatakiwa kuondokana na imani potofu juu ya kifua kikuu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imeendelea na zoezi la uhamasishaji wananchi juu ya upimaji wa kifua kikuu ili kudhibiti maambukizi ya ugonjwa huo hasa kwa watoto wadogo walio na umri chini ya miaka mitano. Akizungumza katika mkutano…

‘Haki ya faragha kwa wafunga na wenza wao kutolewa’

Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali ya Tanzania imesema haki ya faragha kwa wafungwa na wenza wao itaanza kutolewa pale ambapo sheria na miundombinu ya magereza itakapokidhi kutolewa kwa haki hiyo. Kauli hiyo imetolewa bungeni na Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad…

Mo Dewji foundation yatoa mil 100 kukabili saratani Muhimbili

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Taasisi ya Mo Dewji Foundation iliyoanzishwa na mfanyabiashara Mohamed Dewji, imetoa msaada wa Sh100 milioni kwa ajili kusaidia matibabu ya watoto wanaosumbuliwa na Saratani. Akikabidhi msaada huo leo jijini Dar es Salaam kwa Taasisi ya Tumaini la…

‘NHIF itaendelea kuwepo na kutoa huduma kwani ni tegemeo la Watanzania’

Serikali imesema inaendelea kuchukua hatua stahiki kuhakikisha kuwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unakuwa imara, endelevu na stahimilivu kwa kuendelea kutoa huduma kwa wananchi kwa kuwa mfuko huo ni moja kati ya mfumo unaotumika katika kuhakikisha huduma…

ACT-Wazalendo yaishauri Serikali kuhusu bima ya afya ya Taifa

Chama cha Act Wazalendo kimeiomba serikali, kuhakikisha kila Mtanzania anakua kwenye mfumo wa hifadhi ya jamii ili kuwawezesha Watanzania wote kupata bima ya afya ya Taifa. Pia imeishauri serikali kupitia wizara ya fedha kuhakikisha mikopo yote inayodaiwa kupitia mashirika ya…