Category: Siasa
Ngeleja; Kichwa kilichojificha nyuma ya tambo za Kikwete
“Natamani kuwa Rais wa mwisho wa Tanzania kuongoza nchi ambayo ni maskini…Nimeongoza nchi maskini, lakini nataka mrithi wangu kuongoza nchi yenye ustawi na utajiri” yalikuwa ni maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliyoyatoa Agosti 5, 2014 alipozungumza kwenye Kituo cha Kimataifa cha Maendeleo mjini Washington, D.C., Marekani.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Biashara zinahitaji akili za kisasa
Wiki mbili zilizopita, nilipata wasaa wa kuongea kwa kirefu kwa njia ya simu na mjasiriamali kutoka mkoani Singida. Katika mazungumzo yetu mjasiriamali huyu wa miaka mingi alilalamika namna biashara zilivyobadilika nyakati hizi na namna ushindani unavyotishia mustakabali wake.
Mjasiriamali huyu alinipa mifano ya namna zamani alivyokuwa akipata faida kubwa katika bidhaa mbalimbali. Anaeleza, “Zamani nilikuwa nakwenda Dar es Salaam na kununua unga wa ngano kwenye mifuko ya kilo 50, nikija hapa Singida nikiuza kwa jumla ninapata faida ya hadi shilingi elfu tano. Leo hii mfuko wa unga wa kilo 50 huwezi amini, ninapata faida isiyozidi shilingi mia tano!
- Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Falme za Kiarabu afanya ziara Tanzania
- Serikali yajenga shule ya kisasa ya wasichana na shule ya amali Mwanza
- Msajili wa Magazeti alimwagia sifa Gazeti la Jamhuri kwa utunzaji wa kumbukumbu
- Rais Samia akiwa na Mawaziri mara Baraza la Mawaziri cha Serikali ya Awamu ya Sita
- Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri
Habari mpya
- Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Falme za Kiarabu afanya ziara Tanzania
- Serikali yajenga shule ya kisasa ya wasichana na shule ya amali Mwanza
- Msajili wa Magazeti alimwagia sifa Gazeti la Jamhuri kwa utunzaji wa kumbukumbu
- Rais Samia akiwa na Mawaziri mara Baraza la Mawaziri cha Serikali ya Awamu ya Sita
- Rais Samia aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri
- Balozi Nchimbi aongoza kikao cha sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa Dodoma
- Trilioni 1.56 zatekeleza maendeleo Shinyanga – RC Mboni Mhita
- Dkt Makalla :Lishe Bora huepusha magonjwa yasiyoambukiza
- Waziri Mkuu Majaliwa akabidhi tuzo ya umahiri kwa mkuu wa kitengo cha mawasiliano Wizara ya Nishati
- Urusi: Tumekiteka kijiji kingine Ukraine
- Chelsea yashinda Kombe la Dunia la Vilabu
- Mwaipaja: Endeleeni kutumia majukwaa ya Wizara ya Fedha kujifunza
- Wananchi Manyara wanatambua falsafa za Mwenge wa Uhuru – RC Sendiga
- Waziri Mkuu aiagiza TANTRADE kufanya tafiti ya masoko ndani na nje ya nchi
- Dk Mwamba ahamasisha wanawake kuwa mabalozi wa mabadiliko
Copyright 2024