Category: Siasa
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Hivi kati ya Spika Sitta na Kubenea nani ‘Court Jester’?
Akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi Jumanne iliyopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK), Samuel John Sitta, alimshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea, kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Tumekubali kuwa punda wa Wakenya
Biashara zinahitaji akili za kisasa
Wiki mbili zilizopita, nilipata wasaa wa kuongea kwa kirefu kwa njia ya simu na mjasiriamali kutoka mkoani Singida. Katika mazungumzo yetu mjasiriamali huyu wa miaka mingi alilalamika namna biashara zilivyobadilika nyakati hizi na namna ushindani unavyotishia mustakabali wake.
Mjasiriamali huyu alinipa mifano ya namna zamani alivyokuwa akipata faida kubwa katika bidhaa mbalimbali. Anaeleza, “Zamani nilikuwa nakwenda Dar es Salaam na kununua unga wa ngano kwenye mifuko ya kilo 50, nikija hapa Singida nikiuza kwa jumla ninapata faida ya hadi shilingi elfu tano. Leo hii mfuko wa unga wa kilo 50 huwezi amini, ninapata faida isiyozidi shilingi mia tano!
KAGAME NI MTIHANI
Viongozi Maziwa Makuu waufanye kwa uangalifu
Kama kuna nchi ambayo imeweza kurithi vilivyo udanganyifu wa kisiasa na unafiki ambavyo himaya kuu ya zamani ya ‘Roma’ ilikuwa navyo, basi ni Taifa kubwa la sasa ‘Marekani’.
Hakika Marekani ndiyo dola kubwa linaloongoza kwa kuwa ‘wakili wa shetani (the devil’s advocate)’.
Katika enzi hizi za Marekani kuwa dola kubwa, yaani kuwa babeli mkuu, damu ya watu wasio na hatia na wasioujua hata huo ubepari wenyewe imemwagika mno na hakuna hata chembe ya soni au hatia ambayo Marekani imejivisha. Hakika imekuwa Roma. Roma ya ustaarabu na sheria vilivyoleta mateso yasiyomithilika.
Habari mpya
- Kardinali Robert Prevost achaguliwa kuwa papa wa kwanza Mmarekani
- Papa mpya apatikana
- Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo
- Adaiwa kumuua mwanamke kwa tuhuma za kumuambukiza virusi UKIMWI
- Tanzania yadhamiria kuendeleza mageuzi ya kidigitali katika elimu
- Rais Dk Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji
- Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa na JWTZ
- Rais Dkt. Samia akimpokea mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji
- Chatanda ashuhudia utiaji saini wa bilioni 13.3 kuboresha miundombinu Rufiji, Mchengerwa azindua Ligi
- Trump : Nitafanya makubaliano ya kibiashara na ‘nchi inayoheshimika sana’
- Usitishaji mapigano wa Urusi waanza kutekelezwa Ukraine
- Baraza la Habari Kenya lavutiwa na MAIPAC kushirikiana mafunzo kwa wanahabari
- Makadinali washindwa kumchagua papa mpya duru ya kwanza
- BoT yauza Dola za Marekani milioi 35 kupitia mnada wa ushindani
- Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma
Copyright 2024