Category: Siasa
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -4
Katika sehemu ya tatu ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza uchanga wa vyama vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2015. Leo tunaendelea…
Hivi tunavyozungumza CCM na vyama vya upinzani kila kimoja kimo katika harakati ya kupanga mipango ya kushinda uchaguzi huo. CCM itafikisha miaka 38 na baadhi ya vyama vya upinzani vitafikisha miaka 23. Hapatakuwa tena na suala la uchanga wala watoto. Labda suala la utoto!
FIKRA YA HEKIMA
Kagame, Museveni, mkataa wengi ni mchawi
Ndoto za Rais wa Rwanda, Paul Kagame, na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kutaka kuzitenga nchi za Tanzania na Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimeyeyuka.
Sasa ushindi uko mikononi mwa UTATU MWAMINIFU (Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya).
Kibanda alistahili Tuzo ya Mwangosi
Ni siku ya historia ya pekee hapa Tanzania, siku ambayo mwandishi wa habari Absalom Kibanda na mjane wa Daudi Mwangosi, Itika, wamemwaga machozi mbele ya umati wa waandishi wa habari ukumbini.
MAANDIKO YA MWALIMU NYERERE
Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania (6)
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya tano ya mtiririko wa maandiko ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere juu ya Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania. Katika kitabu alichokiandika mwaka 1994, Mwalimu alisema: “Ati Chama hakiwezi kupinga Bunge lake, lakini kwa mantiki ya ajabu ajabu wabunge wanaweza kupinga chama chao! Hiyo ndiyo demokrasia halisi ya mageuzi. Nilirudi Butiama nikalipa ada yangu ya CCM na nikaandika utenzi wa Tanzania Tanzania!” Endelea…
Jukumu la kueleza taarifa hii ya Serikali katika Halmashauri Kuu ya Taifa aliachiwa Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Mheshimiwa Samuel Sitta. Baadaye, baada ya kikao nilimtafuta Ndugu Sitta, nikampa pole kwa kupewa jukumu la kueleza jambo ambalo halielezeki.
Katiba ya nchi siyo ya CCM
Mhariri JAMHURI,
Nachukukua nafasi hii kwanza kulipongeza Gazeti la JAMHURI kwa kujitolea kuweka wazi kuhusu dawa za kulevya na pia kuhusu uwindaji haramu.
Chadema sasa wajiandaa kutumia nguvu Ukerewe
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, kimetamba kwamba kitatumia nguvu ya umma kuishinikiza Mahakama imtoe rumande Mbunge Salvatory Machemli. Mahakama ya Wilaya iliamuru Mbunge wa Ukerewe apewe adhabu ya kwenda jela siku 14 kuanzia Novemba 6 hadi 20, mwaka huu, kutokana na kudharau amri iliyomtaka ahudhurie mahakamani kusikiliza kesi ya uchochezi namba 19/2013 inayomkabili.
- TRA yawakumbusha wamiliki wa magari yasiyokidhi matakwa mwisho wa kulipa
- Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
- Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
- TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
- Mafunzo ufuatiliaji, tathmini kuongeza tija utekelezaji wa mipango ya wizara
Habari mpya
- TRA yawakumbusha wamiliki wa magari yasiyokidhi matakwa mwisho wa kulipa
- Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
- Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
- TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
- Mafunzo ufuatiliaji, tathmini kuongeza tija utekelezaji wa mipango ya wizara
- Majambazi wanne wauawa Songwe, waliwahi kufungwa miaka 30 jela
- Serikali yaanza rasmi mchakato wa kuboresha sheria ya elimu
- Wawili wafariki kwa kupigwa na radi Tabora
- Vipaumbele vya Rais Samia vyazalisha ajira 86,621 Pwani
- Wagonjwa wa moyo 900 wahudumiwa kwa mwezi Tawi la JKCI Oysterbay, lavunja rekodi,
- Tanzania, UAE wazidi kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
- Simbachawane asifu NIDA kuzindua mfumo wa NIDA Code Number
- Rais Mwinyi aongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi
- Mradi wa utafiti wa mafuta na gesi Eyasi – Wembere waajiri zaidi ya Watanzania 2,000
- Dk Mwigulu akagua hali ya uzalishaji na usambazaji wa maji Ruvu Chini