Category: Uchumi
Gesi yabadili utamaduni Mtwara
Wiki hii Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi (pichani), amefanya ziara ya siku tatu mkoani Mtwara kuangalia maendeleo ya ujenzi wa bomba la gesi. Nimepata fursa ya kuwamo kwenye ziara hii. Nimeshuhudia mengi.
Tuwajali Mgambo
Mhariri,
Hoja yangu ni kuhusu Jeshi la Mgambo. Kauli ni jeshi la akiba. Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi bila majibu, kaulimbiu ni jeshi la akiba, lakini si kweli, bali ni jeshi la kutelekezwa na kukamuliwa. Haliendani na kaulimbiu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
Tupande miti kukuza uchumi wetu (4)
Tupande miti kukuza uchumi wetu (4)
Kuna umuhimu mkubwa sana kwa sekta binafsi kupitia kampuni mbalimbali au mtu mmoja mmoja, ikiwamo wananchi walio wengi vijijini kujiwekea mipango na malengo mazuri na kuweza kupanda miti kwa wingi. Kuna mahitaji makubwa ya mazao ya misitu — nguzo, mbao, kuni na mkaa. Endelea…
Napenda kuchukua fursa hii kuwafahamisha Watanzania walio vijijini na mijini kwamba misitu ya asili katika maeneo mbalimbali nchini imeharibiwa mno (highly degraded). Isitoshe, bado kasi ya uharibifu wa misitu ya asili ni kubwa kuliko unavyodhania maana matumizi ya mashine za moto (power or chain saws) yameongezeka sana.
KONA YA AFYA
Sababu za kupungua nguvu za kiume
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana hivi leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia, ni tatizo linalowakabili wanaume wengi mno; wazee kwa vijana karibu kote duniani na hususan maeneo ya mijini zaidi.
Mwanamke anayeng’arisha viatu
Bupe Mwaipopo:
Jina la Bupe limepata umaarufu sana katika Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam.
- Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma
- Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga
- Serikali yakabidhi hati mbili za mashamba ya umwagiliaji
- CHAKAMWATA wampongeza Rais Samia kupandisha mishahara kwa watumishi
- TEMESA Arusha yatekeleza maagizo ya Serikali kwa mafanikio kupitia mfumo wa MUM
Habari mpya
- Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma
- Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga
- Serikali yakabidhi hati mbili za mashamba ya umwagiliaji
- CHAKAMWATA wampongeza Rais Samia kupandisha mishahara kwa watumishi
- TEMESA Arusha yatekeleza maagizo ya Serikali kwa mafanikio kupitia mfumo wa MUM
- REA yakamilisha kufikisha umeme vijiji vyote 523 Mkoa wa Lindi
- Breaking News; Cleopa Msuya afariki dunia, Rais Samia atangaza siku saba za maombolezo
- Wataalam Afrika Mashariki wajadili Nishati Safi ya kupikia jijini Arusha
- RUWASA yapeleka neema ya maji Mloka, Mbunju Mvuleni, Ndundutawa Rufiji
- Kundi la G55 CHADEMA latangaza kung’oka , wadai kutengwa
- CRDB yawahakikishia wawekezaji ukuaji endelevu wa uwekezaji wao
- Makadinali 133 wajumuika Vatican kumchagua mrithi wa Papa
- Tanzania, Zambia zakutana kujadili mpango kazi uimarishaji mpaka wa kimataifa
- Mama Ulega akabidhi gari, vifaa vya ujasiriamali kwa UWT Pwani
- Tanzania na mageuzi makubwa ya sekta ya ardhi