Category: Uchumi
Mteja na Sayansi ya kununua
Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wa gazeti hili, pamoja na wapenzi wa safu hii. Kwa takribani wiki nne sikuwapo hewani kutokana na sababu kadhaa ikiwamo kutingwa na shughuli za kiujasiriamali.
Gesi yabadili utamaduni Mtwara
Wiki hii Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi (pichani), amefanya ziara ya siku tatu mkoani Mtwara kuangalia maendeleo ya ujenzi wa bomba la gesi. Nimepata fursa ya kuwamo kwenye ziara hii. Nimeshuhudia mengi.
Tuwajali Mgambo
Mhariri,
Hoja yangu ni kuhusu Jeshi la Mgambo. Kauli ni jeshi la akiba. Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi bila majibu, kaulimbiu ni jeshi la akiba, lakini si kweli, bali ni jeshi la kutelekezwa na kukamuliwa. Haliendani na kaulimbiu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
Tupande miti kukuza uchumi wetu (4)
Tupande miti kukuza uchumi wetu (4)
Kuna umuhimu mkubwa sana kwa sekta binafsi kupitia kampuni mbalimbali au mtu mmoja mmoja, ikiwamo wananchi walio wengi vijijini kujiwekea mipango na malengo mazuri na kuweza kupanda miti kwa wingi. Kuna mahitaji makubwa ya mazao ya misitu — nguzo, mbao, kuni na mkaa. Endelea…
Napenda kuchukua fursa hii kuwafahamisha Watanzania walio vijijini na mijini kwamba misitu ya asili katika maeneo mbalimbali nchini imeharibiwa mno (highly degraded). Isitoshe, bado kasi ya uharibifu wa misitu ya asili ni kubwa kuliko unavyodhania maana matumizi ya mashine za moto (power or chain saws) yameongezeka sana.
KONA YA AFYA
Sababu za kupungua nguvu za kiume
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana hivi leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia, ni tatizo linalowakabili wanaume wengi mno; wazee kwa vijana karibu kote duniani na hususan maeneo ya mijini zaidi.
- Rais Samia kumuasili mtoto aliyetelekezwa kunavyodhihirisha upendo wake kwa jamii
- Papa Leo ahuzunishwa na mauaji ya watoto Iran
- Tanzania, Uganda zaainisha maeneo manne ya ushirikiano wa kimkakati
- Msajili wa Hazina na Arise Investments kuimarisha uwekezaji NMB
- Mradi wa Lupali mbioni kukamilika, kuingiza umeme gridi ya Taifa kilowati 317
Habari mpya
- Rais Samia kumuasili mtoto aliyetelekezwa kunavyodhihirisha upendo wake kwa jamii
- Papa Leo ahuzunishwa na mauaji ya watoto Iran
- Tanzania, Uganda zaainisha maeneo manne ya ushirikiano wa kimkakati
- Msajili wa Hazina na Arise Investments kuimarisha uwekezaji NMB
- Mradi wa Lupali mbioni kukamilika, kuingiza umeme gridi ya Taifa kilowati 317
- Balozi Mbundi akutana na wanachuo NDC asisitiza ushirikiano wa kimataifa
- Serikali yapendekeza kukusanya na kutumia trilioni 62.334/- kwa mwaka wa fedha 2026/27
- Tanzania yashiriki mkutano wa uwezeshaji wanawake
- Takwimu za TPDC zafichua nafasi kubwa ya vijana sekta ya nishati
- Tanzania, Uganda zasisitiza utekelezaji kwa vitendo katika kukuza ushirikiano wa uwili NA
- REA yatoa zaidi ya bilioni 5/- kuzalisha umeme wa maji Lupali
- Dk Maghembe, Luswetula wawasili Afrika Kusini kushiriki Mkutano wa 47 wa SADC
- Dk Samia afanya mazungumzo na mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa
- CCM yafanya mazungumzo na mjumbe maalum wa Umoja wa mataifa Dodoma
- Rais Dkt. Samia aasili mtoto Grace Samia Suluhu