JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Uchumi

Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (3)

Umuhimu Wa Misitu Katika Maeneo ya Vijiji

Tanzania Bara ina vijiji vingi na kwa bahati nzuri vipo vijiji vyenye maeneo mazuri ya misitu ya asili na vingine vinayo, lakini imeharibiwa kwa kiasi kikubwa kutokana na shughuli mbalimbali za kibinadamu zisizo endelevu.

Mil 200/- zatafunwa ‘mradi hewa’ Geita

Shilingi milioni 200 zilizotengwa kwa ajili ya ujenzi wa skimu ya umwagiliaji katika vijiji vya Nyamboge kilichopo Kata ya Katoma; na Nzera katika Kata ya Nzera, Wilaya ya Geita mkoani, ‘zimeyeyuka’.

Mengi aanzisha shindano kukabili umaskini Tanzania

. Watu wanatuma mawazo bunifu kupitia Tweeter

. Washindi wazawadiwa Sh mil 1.8 kila mwezi

Katika juhudi za kutafuta ufumbuzi wa umaskini Tanzania, Mwenyekiti wa kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, ameanzisha shindano la mawazo mapya yanayotaja mbinu bora za kutokomeza tatizo hilo.

Wanawake ni injini ya ujasiriamali

  Wakati fulani nilikuwa nikisikiliza wimbo ulioimbwa na mwanamuziki nguli, Luck Dube, na ukatokea kunivutia sana kutokana na maudhui yake.   Ndani ya kibao hicho, Dube anaeleza namna wanawake wanavyopambana na maisha kupitia kujituma kuhakikisha familia zao zinastawi vizuri. Hata…

Tumeamua kujiridhisha na fedha za ‘uongo’

Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wa safu hii ya Anga za Uchumi na Biashara, ambayo haikuwa hewani kwa takribani wiki saba.

Gwiji wa ujangili Arusha atambuliwa

Mtuhumiwa mkuu wa ujangili katika Hifadhi za Taifa za Serengeti, Tarangire na katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, aliyetiwa mbaroni wiki iliyopita, ametambuliwa kuwa ni Frank William (32) au maarufu kama “Ojungu”.