Tuwakubali Ili wakubalike

Vipaji vipo kila kona ya dunia, lakini ili kipaji kikue ni lazima kwanza kikubalike nyumbani kabla hakijakubaliwa ugenini. Kipaji hakipatikani shuleni, kipaji unazaliwa nacho na unakua na kutembea nacho, na ili kipaji kionekane na watu wengine unatakiwa ukioneshe.

Read More

Je, Mkristo akichinja ni haramu?

Chakula cha nyama, ni moja ya hitaji  katika  mlo. Hutumika  kama kitoweo sehemu mbalimbali kuanzia kwenye milo ya nyumbani, sherehe mbalimbali hadi sehemu kunakouzwa vyakula.Hata hivyo,suala  linalohusiana na uchinjaji wa wanyama kwa ajili ya chakula, limekuwa likileta matatizo na misuguano isiyo ya lazima katika jamii yetu Watanzania, na hivyo kusababisha  kero kwa watu wengine.

Read More