Category: Makala
Serikali hyaimarisha huduma za matibabu ya moyo
Na Salome Majaliwa- JKCI Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Dkt. Peter Kisenge amehimiza kuimarisha ushirikiano kwa wafanyakazi wa taasisi hiyo ili waendelee kutoa huduma bora za matibabu kwa wagonjwa. Dkt. Kisenge ametoa rai hiyo jana jijini…
Hiki ndicho kinacholitesa taifa letu
Katika miaka 61 ya Uhuru, kinachoitesa Tanzania ni kukosa dira. Awali, falsafa ya TANU na baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, ilikuwa kuondoa maovu yote yaliyotokana na ukoloni na kuwafanya wananchi kujenga uchumi…
‘Tuna matumaini chanya ya mabadiliko ya sheria ya habari’
Na Stella Aron,JamhuriMedia TASNIA ya habari inapaswa kuwa na sheria na kanuni rafiki ili kuruhusu kukua na kwamba, kuweka sheria kali na ngumu, kunaua vyombo vya habari lakini kunaacha athari hasi kwa taifa. Kuwepo kwa vyombo vingi vya habari kushindwa…
Harufu ya rushwa, CCM yaamua kufuta chaguzi baadhi ya mikoa
Katibu Mkuu wa Chama Chama Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo kwa dhamana ya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Uchaguzi wa ndani ya chama unaonendelea huku ukifikia ngazi za mikoa chama na jumuiya, ametangaza kufuta uchaguzi katika baadhi ya maeneo, kusimamisha mchakato wa…
‘Tanzania ni miongoni mwa nchi 30 zenye kiwango kikubwa cha TB’
IMEELEZWA kuwa ugonjwa wa Kifua Kikuu ni Janga la Kitaifa na la Kidunia ambapo ni moja kati ya magonjwa yaliyokuwepo duniani kwa muda mrefu na umeshachukua maisha ya mamilioni ya watu Duniani kote. Hayo yamesemwa jana na Katibu Tawala wa…





