JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

NANI KAMA NYERERE?

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Tanzania) Chuo Kikuu cha Ufilipino (Ufilipino) Chuo Kikuu cha Manila (Ufilipino) Chuo Kikuu cha Makerere (Uganda) Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (Tanzania) Chuo Kikuu cha Claremont (Marekani) Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (Tanzania)…

Korosho bado ni ‘umiza kichwa’! (4)

Sehemu iliyopita, nilianza kuandika rejea ya makala niliyoiandika miaka 17 iliyopita. Nilisema kule India nako lile shirika la “Cashew Corporation of India” lililonunua korosho zetu zote lilishavunjwa. Hivyo wanunuzi binafsi walikuwa wanajinunulia korosho kiholela kwa viwanda vyao vya kubangulia korosho….

Tutetea urithi wa lugha zetu

Miezi kadhaa iliyopita nilimsikia jirani yangu Mkurya akitoa somo la nyota kwa wageni Wafaransa. Alitaja tafsiri, kwa Kikurya, ya nyota, mwezi, jua, na hata ya sayari Zuhura. Lugha mama yangu ni Kiswahili, siyo Kizanaki, kwa hiyo hufurahia sana kusikia Mtanzania,…

Naomba Mhandisi Mjungi akumbukwe

Na Angalieni Mpendu Rais Dk. John Pombe Magufuli nimekusikiliza kwa utulivu, nimekusoma kwa umakini na nimekuelewa kwa undani katika hotuba yako ya uzinduzi wa Daraja la Mfugale (Mfugale Flyover), eneo la TAZARA, katika makutano ya Barabara ya Mandela na Barabara…

Yah: Mheshimiwa Charles Tizeba umetusahau wakulima wako

Ninajua kuwa hautanielewa nikisema umenisahau kwa sababu haujapata nafasi ya kuja kunitembelea hapa kwangu na kuona jinsi ambavyo fuko la alizeti lilivyogeuka kuwa mto wa kulazia kichwa changu huku nikiwaza rundo la mahindi nitaliuza wapi, najiuliza, mihogo niliyonayo niwakabidhi nguruwe…

JPM amfuta machozi Mfugale

Ifuatayo ni sehemu ya hotuba ya Rais John Magufuli wakati wa uzinduzi wa Mfugale Flyover, Tazara jijini Dar es Salaam uliofanyika Septemba 27, 2018. Pamoja na mambo mengine, Rais Magufuli alieleza kwanini ametaka daraja hilo lipewe jina la Mtendaji Mkuu…