Category: Makala
Maombi kwa Kamishna wa Ardhi kuweka zuio
Transfer ni kubadilisha hati au leseni ya makazi kutoka jina la mmiliki wa awali kwenda kwa mmiliki mpya. Transfer inaweza kufanyika kutokana na mauzo, kupewa zawadi, fidia, n.k. Kwa hiyo, kuzuia transfer ni kuzuia kubadilishwa kwa hati kutoka mmiliki wa…
Ujasiri wa leo ni tumaini la kesho
Ujasiri wa leo ni tumaini la kesho, hebu fumbua macho yako uone. Mungu anakuonesha mamilioni ya fursa siku ya leo. Mwandishi Robinson Maria anasema, hakuna anayeweza kurudi nyuma na kuanza mwanzo mpya, lakini yeyote anaweza kuanza leo na kutengeneza mwisho…
Bila kupitiwa mikataba …
Pamoja na kumpongeza Rais John Magufuli kwa uthubutu na uzalendo wake kwa Watanzania anaofanya katika maeneo mbalimbali, bila kupitiwa upya kwa mikataba yote bado hatutakuwa na jipya. Hali ya umaskini wa Watanzania baada ya utawala wa awamu ya kwanza imechangiwa…
Ndugu Rais ‘walidhani nitakuwa nao’ tumaini lililorejea
Ndugu Rais, kama kuna wakati uligusa mioyo ya Watanzania na hasa masikini, ni pale uliposema, “Walidhani nitakuwa pamoja nao!” Kama hii ilikuwa ni ahadi, basi ni ahadi iliyotoka juu! Nina hakika hii haimo katika ilani ya chama chako. Kwa ahadi…
Yah: Nayaona mabadiliko yajayo kwa kasi isiyotarajiwa
Kuna wakati niliwahi kuandika katika waraka wangu kwamba kuna mabadiliko makubwa yajayo ambayo nayaona njozini, nilisema nikijihami kwamba labda ipo siku yanaweza kukwama, mkwamo ambao ungesababishwa na kusita kwa baadhi ya watu katika kutekeleza azma ya pamoja kukubaliana na kaulimbiu…
Madini ya Tanzania ni mali ya nani?
Nimepata kumsikia kiongozi mmoja wa siasa nchini akisema kuwa yanayotekelezwa na Rais John Pombe Magufuli kuhusu kudhibiti wizi na utoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi, ni msimamo wake na ni ajenda ya chama chake cha siasa, ingawa chama chake…