Category: Makala
Walijaribu ushoga wakafeli, wamegeukia mimba za wanafunzi
Rais John Magufuli ameutolea uamuzi mjadala wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanaopata mimba. Rais Magufuli, akiwahutubia wananchi mkoani Pwani, amesema bayana kuwa hayuko tayari kuona wanafunzi wanaotiwa mimba wakiendelea na masomo katika shule za Serikali. Akayaambia mashirika…
Waziri Mwigulu unasubiri nini?
Kwanza nianze kwa kumsalimia kaka na rafiki yangu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba. Salamu hizi ni salamu za dhati kutokana na malezi niliyopewa na walezi wangu. Shikamoo Mheshimiwa Waziri. Mwigulu ni kaka na rafiki yangu. Mtanzania…
Uvimbe na kutokwa damu kwenye njia ya haja kubwa
Unaweza kuhisi una uvimbe mdogo sehemu ya nje ya njia ya haja kubwa inayoambatana na muwasho na maumivu na wakati mwingine ukienda haja kubwa, kinyesi kinatoka kwa tabu sana na kadri unavyotumia nguvu kukisukuma ndipo maumivu kwenye ile njia ya…
Majivuno ni jeraha lisiloponyeka katika maisha
Tendawili: Tega! ‘Ananifanya nichukiwe na kila mtu.’ Jibu ni ‘Majivuno’. Majivuno ni jeraha lisiloponyeka katika maisha. Ni donda ndugu. Machi, 12-16 Agosti, 2013, Jarida la ‘New People’ la nchini Kenya, lilichapisha makala yangu iliyokuwa inasema, ‘Holy family’’. Padre Erickson Wangai…
Ripoti ya Kamati ya Pili ya Madini
Muhtasari wa ripoti ya kamati maalum ya kuchunguza masuala ya kisheria na kuichumi kuhusiana na mchanga wa madini unaosafirishwa nje ya nchi. Utangulizi Mheshimiwa Rais, Kama ambavyo Watanzania watakumbuka tarehe 10 April 2017, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
Ndugu Rais hapa umekandamiza mwanawane
Ndugu Rais, sasa naanza kuwaelewa wanawema wengi wanaosema mengi yaliyoandikwa katika kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu au ni utabiri au ni unabii! Tumwachie Muumba afanye kazi yake. Unaweza pia ukawa mfano wa mcheza bao hodari! Nasukumwa sasa kuwaelewa vema,…