JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Yah: Sasa tumenyooka mkuu tukunje utupange utakavyo

Tarehe kama ya leo mwaka jana tulianza kufurahia madaraka yako, uliisha tumbua majipu kadhaa ambayo wengi wetu tuliamini kwamba mambo yanakwenda vizuri kabisa, kwa upande wangu bado naamini ili furaha bado haijapotea. Tarehe kama ya leo ulikuwa ukingoni kulitangaza baraza…

Miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika

Ijumaa hii ya tarehe 9 Disemba, Watanzania penye majaliwa tutaungana pamoja kuadhimisha miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara). Siku ya kukumbuka kushushwa bendera ya kikoloni ya Waingereza na kupandishwa bendera ya Uhuru ya taifa jipya la Watanganyika. Ni…

Fursa kwa wabunifu chipukizi tasnia ya sanaa

Nimepata fursa hivi karibuni kushiriki katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa atamizi ya sekta ya ubunifu katika nyanja za muziki, filamu, na mitindo iliyofanyika Dar es Salaam. Mradi huo, ambao unanuwia kunufaisha wadau wa tasnia ya sanaa waliopo ndani…

Rais Magufuli unaposonga mbele ukumbuke kuangalia tulikotoka

‘Jihadhari na ufumbuzi unaozalisha tatizo jipya’   Napenda Rais John Magufuli afanikiwe kisiasa na kiutawala, napenda aandike historia kama alivyoahidi aliposema na wahariri kwenye mkutano wake wa Novemba 4, 2016 pale Ikulu.  Hata hivyo, kupenda peke yake na kumtakia mema…

Castro kisiki cha mpingo

Historia hutokea, na watunza kumbukumbu huziandika. Mbunge (sasa marehemu) wa Ulanga Mashariki (CCM), Theodos Kasapila, kila lilipotokea jambo kubwa alikuwa akisema; “Haijapata kutokea”. Hakika ni vyema na haki, nikiazima maneno ya Kapteni Kasapila kusema Fidel Castro, aliyekuwa Rais wa Cuba,…

Buriani Castro, wajamaa watakukumbuka

Tawala za kijamaa zilianguka kote duniani, lakini Castro aliendelea kupeperusha bendera nyekundu karibu na maadui wake wakubwa, Marekani. Kiongozi huyo mwenye utata alisifiwa na wafuasi wake kama kiongozi wa ujamaa, askari mwanasiasa ambaye aliirejesha Cuba mikononi mwa watu. Lakini alikabiliwa…