Category: Makala
Anayempenda baba tumfanye mama
Lugha yetu ya Kiswahili haina uchache wa maneno katika matumizi ya kila siku kiasi cha kumfanya mtumiaji wa lugha hii kupata shida na kuchanganya maneno mawili au zaidi kukusudia kuelezea jambo moja; na kuleta mgongano wa mawazo kwa msikilizaji au…
Kijijini sema baba yako mjinga uone cha moto
Demokrasia ni dhana nzuri sana pale ambako wote tunakubaliana juu ya maana na mipaka yake. Tatizo ni kuwa si wakati wote huwa tunaafikiana juu ya maana na mipaka yake. Nguzo moja ya kulinda na kujenga demokrasia ni uhuru wa raia…
Tanzania tumefikishwa mahali pabaya
Kama tujuavyo, jina Tanzania lina maana mbili. Kwanza Tanzania ni Taifa, na Taifa ni jamii ya watu huru walio chini ya utawala mmoja. Hapa tutaendelea kuwashukuru Mwalimu Julius Kabarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume walioongoza kwa usalama juhudi za…
Ndugu Rais tengua kauli yako
Ndugu Rais, tumwombe Mwenyezi Mungu atufundishe kunyamaza kwa sababu katika kunyamaza kuna kutafakari ili tusije tukamuudhi Muumba wetu katika kujibu. Hakuna hata mmoja kati yetu aliyeomba azaliwe katika nchi hii. Tumekutana hapa kwa mapenzi ya Mungu mwenyewe tu. Hivyo, hakuna…
Tuzo ya Mo Ibrahim kaa la moto kwa viongozi wa Afrika
Wakati Bara la Afrika likiwaaga marais wastaafu watatu mwaka jana katika vipindi tofauti, kulikuwa na matarajio kwamba pengine mmoja miongoni mwa marais hao wastaafu angeweza kuondoka na tuzo ya Mo Ibrahim, hali imekuwa kinyume chake. Marais hao watatu waliostaafu kwa…
Tanzania na fursa ya mradi wa bomba la mafuta
Wafanyabiashara wakubwa duniani kote wamekuwa na kanuni moja ya kuwekeza katika nchi yenye miundombinu rafiki, ambayo itakuwa tija katika kusafirisha bidhaa zao kwa urahisi ili kufikia malendo yao. Kufuatia kipaumbele hicho katika kukuza uchumi wa nchi yoyote duniani, nchi zote zimekuwa…