JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Itikadi, kansa kwa viongozi wa kisiasa

Ni vyema nianze kwa kuweka wazi kwamba nilikuwa sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hadi katikati ya mwaka 2016. Ilikuwa tukio la kihistoria kwangu baada ya kuvifuatilia kwa kina vyama vyote kwa muda mrefu. Katika kuelezea kilichonisukuma hadi…

Yah: Kuhamia Dodoma itawezekana kwa siasa zetu?

Nimeanza kwa swali hili kutokana na ukweli wa mfumo wetu wa demokrasia kuhoji kila jambo ambalo pengine baadhi yetu tunadhani haliwezekani kutokana na uwezo wetu wa kutafakari mambo. Kuna wakati mwingine kunazuka hoja za msingi, lakini kwa maana ya kupata…

Ni woga au ukweli?

Wanasiasa na wasio wanasiasa walishuhudia kuona na kusikia hekaheka zilizofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kuandaa, kuendesha na kusimamia Mkutano Mkuu Maalum wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama hicho, wiki iliyopita mjini Dodoma. Katika utamaduni waliojiwekea wanaCCM, walimchagua kada mwenzao,…

Butiama inahitaji Zimamoto

Mwaka 2008 Serikali ya Awamu ya Nne ya Mzee Jakaya Kikwete, ilipitisha uamuzi wa kuanzishwa kwa wilaya mpya ya Butiama. Baadhi, na siyo wengi, hatukuunga mkono uamuzi huo. Waliyo wengi walifurahia uamuzi huo. Ambao hatukuunga mkono tulitaja uhaba wa ardhi…

Burian Mpigapicha Joseph Senga

Mimi Benjamin Thompson Kasenyenda, nafsi yangu inakataa kuwa kweli Joseph Senga eti ametutoka. Lakini kiuhalisia ndiyo hivyo, ndugu yetu Senga ndiyo ameondoka. Kwa kheri mpendwa wetu. Mcheshi na mtu wa watu. Atakumbukwa na wengi na kwa mengi. Baadhi ni sisi…

Ndugu Rais wapiganie watu wake naye atakupigania

Ndugu Rais dhamira yako njema kwa nchi yetu na watu wake wanawema wote wanaiona. Ugumu uliopo mbele yako katika kutekeleza dhamira hiyo njema pia wanawema wanauona. Umesongwa na kuzingirwa kila upande. Umefanana na waridi lilisongwa na michongoma yenye miiba mikali…