Category: Makala
Kwa hili sote tu wadau (2)
Ilipoishia wiki iliyopita: Nchi za Dunia ya Kwanza (Ulaya) kama zinavyoitwa kimaendeleo, zimepitia machungu mengi tena kwa karne kadhaa ndipo zikafikiria aina ya demokrasia wanayojivunia siku hizi. Wamepitia ile hatua kihistoria tunayoiita “RENAISSANCE” kule Ulaya, wakaanza kuamka lakini waliuana kweli….
Kama ni udikteta wa maendeleo, ebu Rais Magufuli ongeza dozi
Kelele za hapa na pale zimeanza kusikika miongoni mwa Watanzania zikielekezwa kwenye uongozi wa Rais John Magufuli. Wapo walioanza kulia wakisema amekuwa dikteta. Hii inatokana na kasi yake ya ‘kutumbua majipu’, kukaidi vishawishi vya safari za nje, kuwabana wakwepa kodi,…
Yah: Ummy Mwalimu tumbua jipu kwa DDT
Miaka ya nyuma ipatayo kama thelethini hivi nilikuwa mtu mzima, lakini ambaye ni mfugaji na mchungaji mzuri wa mifugo. Kwa wakati ule niliona kazi pekee duniani ni ufugaji hasa wa mbuzi na niliona mbuzi kama mali pekee mtu anayopaswa kuwa…
Shirika la Posta kuongeza kasi ya TEHAMA
Matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA), yameshika kasi na kurahisisha upatikanaji wa taarifa mbalimbali kwa urahisi kwa wananchi kuhusiana na masuala ya kijamii, kiuchumi, kielimu, kiafya na kisiasa. Kutokana na ukuaji wa kasi ya matumizi hayo ya TEHAMA,…
Zijue aina 7 za adhabu zinazotolewa na korti
1. ADHABU YA KIFO (DEATH PENALTY) Adhabu hii hutolewa kwa wenye makosa makubwa kama kuua kwa kukusudia (murder). Kifungu cha 26 Kanuni za Adhabu kinasema kuwa mtu atakapohukumiwa adhabu ya kifo basi adhabu hiyo itatekelezwa kwa kunyongwa kwa kitanzi mpaka…
Maalim Seif na uchu wa madaraka
Maalim Seif Shariff Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), amedhihirisha wazi kuwa yeye ni kiongozi mwenye tamaa ya madaraka iliyopitiliza, tamaa inayomwezesha kuteketeza hata nchi nzima pamoja na wananchi wake ilimradi yeye abaki kuwa kiongozi mkuu. Kilichofanya asiweze…