JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Kwanini mabeberu wanachangamkia sana Burundi?

Habari za hivi majuzi zinasema suala la Burundi litajadiliwa na Kamati Maalum ya Bunge la Afrika Mashariki (EALA) linaloshughulikia utatuzi wa migogoro. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Abdullah Mwinyi amesema ujumbe wa Rais Pierre Nkurunziza umekubali kuhudhuria mkutano huo utakaofanyika mjini…

‘Wandu makoko’ (3)

Turudi enzi za Mzee Jumbe, Rais wa Awamu ya Pili, huko Visiwani. Utawala wake ulidhamiria kuleta mageuzi makubwa kule Visiwani. Kwanza alifikiria urais kamili hivyo aliotea nchi huru ya Visiwa vya Zanzibar. Katika azma hiyo alijikuta anawaingiza vijana wasomi katika…

Yah: Kikao cha Bunge na majipu yaliyokomaa ya posho za vikao

Tanzania ni moja kati ya nchi maskini sana duniani kutokana na kutotumia vizuri rasilimali zake na kuziendeleza. Lakini, pia ni nchi mojawapo ambayo utawala wa kujipendelea kisiasa katika kujilimbikizia mali umekithiri, hali ya kimaisha ya wanasiasa ni tofauti kabisa na…

Wadaiwa Sugu MUWSA ni jipu

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Moshi (MUWSA), inahudumia Wakazi wapatao 194,756. Hii ni kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 pamoja na wakazi wengine 30,000 waliopo maeneo ya Wilaya za Hai na…

Tujadili kwa kina mgogoro wa Zanzibar

Kuna huu mgogoro wa Zanzibar. Mtu akiuangalia juu juu mgogoro huu atauona kwamba ni mwepesi na atashangaa kwa nini haumalizwi mara moja. Wapo watu watakaokwenda mbali zaidi (na kwa kweli tayari wameshakwenda mbali zaidi), wanajiuliza kwa nini Rais wa Jamhuri…

Afrika inateswa na mkoloni mweusi

Mwasisi wa taaluma ya ‘Public relation Arthur Page’ alipata kuandika haya; “Unaweza kutumia miaka 20 kujenga haiba yako mbele ya jamii lakini sekunde tano tu zinatosha kukiharibu kile ulichokijenga kwa miaka 20’’.  Haiba iliyojengwa na wapigania uhuru wa bara la…