Category: Makala
Idara ya Usalama ipongezwe
Kama Watanzania wataulizwa leo nini walichokuwa wakikitarajia kwa nchi yao ya uhuru na kazi, basi jibu ni moja tu kwamba tulikuwa tunataka mabadiliko ya kuachana na mabepari wachache waliohodhi mali zetu ambazo tulizipata kutokana na jasho la siasa ya Ujamaa…
Sheria inasemaje unapoua wakati ukijaribu kujilinda?
Wakati mwingine kujilinda waweza kukuita kujitetea, kujiokoa au kujikinga. Ni hali ambayo mtu hufanya jitihada za kujinasua katika tendo ovu linalotekelezwa na mtu mwingine dhidi yake. Mfano wake ni kama kuvamiwa na majambazi, kutekwa, kufanyiwa fujo ya aina yoyote,…
Mabadiliko ya mwaka yaende sambamba na siasa za nchi
Huu ni Mwaka Mpya. Nawatakia Watanzania wote heri ya Mwaka Mpya wa 2016. Kawaida Wahaya wana jadi ya kuupa jina kila mwaka unaokuja. Mwaka huu wameupa jina la ‘yangua’ lenye maana ya harakisha. Jina hilo limetungwa na Filbert Kakwezi, kijana…
Profesa Shivji auonavyo uongozi wa Rais Magufuli
Profesa Issa Shivji, hivi karibuni alihojiwa na Kituo cha Televisheni cha Azam, kuhusu siku 50 za uongozi wa Rais John Magufuli. Ufuatao ni mtazamo na ushauri wake kwa Serikali ya Awamu ya Tano Ni kweli kwamba ni siku 50…
Rafiki yangu Zitto, tunajifunza nini kwa Dk. Kabourou?
Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe, awali ya yote naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kuwa hai na kuandika makala hii, pili kushuhudia wewe ukiwa Mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini, kwani sikutarajia kuwa ipo siku utakuwa mwakilishi wa wananchi wa mji…
Hitler na ndoto za kutawala dunia
Kiongozi wa Chama cha Kisoshalisti kilichojulikana kama ‘NAZI’, Adolf Hitler (1889-1945) alikuwa mmoja wa madikteta dhalimu na wenye nguvu kuwahi kutokea katika karne ya 20. Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia mbabe huyo aliamka kwa nguvu kupitia chama…