Category: Makala
Watanzania tujihadhari, misaada na mikopo
Kasi ya utendaji kazi za Serikali katika awamu hii ya tano, imeanza na dalili njema ya kuwaletea mabadiliko ya kweli ya kurudisha mfumo wa utawala bora ambao utaboresha maisha ya Watanzania, uchumi imara na maendeleo himilivu. Watanzania wameanza kupiga mayowe…
Ukomavu wa kisiasa na woga wa mabadiliko
Mara zote Watanzania wamejitambulisha kama wakomavu wa siasa, ukomavu usioeleweka namna ulivyo kama nitakavyoonesha hapa chini. Ikumbukwe kwamba mara baada ya Tanganyika (Tanzania Bara) kujitawala kabla ya kuungana na Visiwa vya Zanzibar, iliamriwa kwamba ni bora nchi ikafuata udikteta wa…
Profesa Muhongo ni uteuzi makini
Baraza la Mawaziri la Rais John Pombe Magufuli limetoa kile ambacho walio wengi walikuwa wanakitarajia kufuatia mambo mengi aliyoanza nayo, ambayo walikuwa hawakuyazoea. Rais Magufuli alianza kwa kumteua waziri mkuu ambaye kusema ukweli hakuna aliyekuwa akimuwazia. Ilikuwapo idadi kubwa ya…
Hotuba ya Rais Dk. John Maguful
Ndugu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Ndugu Katibu Mkuu Kiongozi, Ndugu Wenyeviti wa sekta mbalimbali, Wadau wakubwa wa Sekta Binafsi, Mabibi na Mabwana Nafurahi kwa kusema, kwanza namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha sisi sote kuwapo hapa leo….
Kikwete alitupuuza?
Tulikuwa na Rais ambaye hakuona mbali kuna wakati tuliambiwa kuwa tusiwazungumzie marais wastaafu hata kama hawakufanya vizuri wakati wa utawala wao. Tuwaache wapumzike. Kwa Tanzania si kweli kwamba kuna Rais mstaafu ambaye anapumzika baada ya kumaliza muda wake. Wote wanajihusisha…
Agizo la Magufuli: MSD yaonesha njia
Kwa jinsi ilivyotekeleza maagizo ya Rais John Pombe Magufuli, Bohari ya Dawa nchini (MSD) imedhihirisha kuwa watumishi wa umma wakiongozwa vyema, Tanzania inaweza kupata maendeleo ya kasi. Taarifa zilizoifikia JAMHURI zinaonesha kuwa baada ya Rais Magufuli kuagiza zilizokuwa fedha za…