Category: Makala
Ijue biashara ya uwakala kisheria
Wapo mawakala na wapo wanaohitaji kuwa mawakala. Kwa sasa biashara ya uwakala ni kubwa mno. Wapo mawakala mitandao ya simu kama Tigo, Airtel, Vodacom n.k, mawakala kampuni za usafirishaji kama mabasi, malori n.k, na kampuni nyingine nyingi. Mtindo wa biashara…
Athari za elimu bila pesa
Akifafanua madhumuni ya elimu kwa Taifa katika kuielezea sera ya Elimu ya Kujitegema, Rais Julius Kambarage Nyerere alitamka yafuatayo: “Kurithisha kutoka kizazi kimoja hadi kazi kingine maarifa na mila za Taifa, na kuwaandaa vijana wawe tayari kuchukua nafasi zao katika…
Umejiandaaje na ‘kibano’ cha Magufuli kiuchumi?
Wapendwa wasomaji, ninawasalimu kwa salamu za upendo. Naamini kwamba wengi wenu mnaendelea kufurahia, kushangaa, kupigwa na bumbuwazi ama kuchanganyikiwa kwa hatua mbalimbali zinazochokuliwa na Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, au…
Athari za misaada kwa mtu mweusi
‘Rediscovering Africa’ ni jina la kipindi kinachorushwa na televisheni ya taifa ya China (CCTV). Maana ya jina hilo kwa lugha ya Kiswahili ni “Igundue tena Afrika”. CCTV huwafikia Watanzania kupitia baadhi ya vituo vya televisheni vya hapa nchini ikiwamo Televisheni…
Safari ya elimu Tanzania
Katika dunia ya leo, ili kila mtu aweze kuboresha maisha yake ni lazima awe na elimu. Elimu ndiyo inayomwezesha mtu kujitambua na kujimiliki yeye mwenyewe kwanza, pia kuzikabili changamoto zinazomsonga, kuyatawala na kuyatumia mazingira yanayomzunguka ili kuboresha maisha yake. Ndani…
Haya ndiyo maajabu ya Dk. Tulia Akson Mwansasu
Siku kama ya jana, Novemba 23, miaka 39 iliyopita katika Kijiji cha Bulyaga, Kata ya Tukuyu, wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwenye familia ya Akson Mwansasu, alizaliwa binti kitinda mimba. Ilikuwa ni kiu ya mama ambaye licha ya kuwa na watoto…