Category: Makala
Mgori: Msitu ulioachwa ‘yatima’
Awali ya yote nawapongeza Wahifadhi wote wanaoendelea kuhakikisha wanyamapori wanaendelea kuishi kwa utulivu baada ya ujangili kupungua kidogo. Nawashukuru Wahifadhi, Polisi na Mahakama kwa hatua kali walizochukua hivi karibuni huko Mbeya, Mpanda na nakadhalika kwa kuyatupa majangili jela kwa miaka…
Yah: Sitashangaa Tanzania kuwa na diwani, mbunge Mchina au Mkenya
Nimefurahi kusikia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, anataka kutumbua jipu hili, lakini lazima nikiri kuwa jipu hili ni gumu kutumbulika kwa sababu linahusisha watu wengi kupitia urasimu wa utoaji vibali na suala la msingi kabisa la…
Ilala uvunje urafiki na uchafu uliokithiri
Ni jambo lisilopingika kuwa Ilala ndiyo Dar es salaam, na kama kuna mtu yeyote anayepinga na ajitokeze hadharani kupinga ili tupingane kwa hoja. Pamoja na ukweli huo, bado Halmashauri ya Manispaa ya Ilala haijajitambua hata kidogo kwenye uwajibikaji katika maeneo…
Fidia unazoweza kulipwa Serikali inapotwaa ardhi yako
Kwa kawaida Serikali hutwaa maeneo. Huhamisha wahusika, wamiliki, na kuchukua eneo kwa malengo maalum yaliyokusudiwa. Yaweza kuchukuliwa nyumba yako, kiwanja, au hata shamba. Mara kadhaa Serikali hufanya hivi panapo mahitaji maalum ya shughuli za umma kama ujenzi wa miundombinu kama …
Hali ya kisiasa nchini itizamwe kwa umakini
Tanzania inaonekana ni nchi ya amani na utulivu kwa wakati huu. Na huo umegeuka wimbo unaoimbwa na kila mmoja wetu lakini bila kuelewa vina vya wimbo huo vinapatikanaje. Wimbo upo tangu miaka mingi iliyopita, unaimbwa kwa mbwembwe tu basi. Wengi…
Uchaguzi Mkuu bado mbichi
Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 umekwisha kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuibuka kidedea. Hata hivyo, katika hali halisi ngoma inaelekea kuwa bado ni mbichi. Katika kuitolea ufafanuzi hoja hiyo, sina budi nielezee, japo kwa muhtasari, historia ya kibwagizo kilichozoeleka hapa…